Anapingana na chama chetu, sisi tuna makubaliano maalum ya kichama na wamachinga.Nampongeza kwa hili
Anapingana na chama chetu, sisi tuna makubaliano maalum ya kichama na wamachinga.Nampongeza kwa hili
Tatizo sio watalamu Tatizo ni siasa za kijima tulizo nazo.jiwe alivyo leta vitambulisho vya mmachinga na kuruhusuu wakae popote, ulitegemea hao watalamu wafanye nini?.safi sana.
kimsingi Karia koo kwa sasa inapaswa ihamie Maeneo ya MBEZI MWISHO, STENDI YA MAGUFULI.
JIJI la DSR ljnapaswa lipanuke.
tubadilike, wataalamu wa mipango miji wapo lkn hawataki kutumia taaluma zao vyema.
Kuna nafasi kibao pale Machinga Complex waende pale SI UNAJUA NYUMBA HAIJAAGI hata mje wageni wengi kiasi gani mtaenea tu, hata kama ni kulala sebuleni mtalala! Halfu tuache ushabiki wa kisiasa, ni shida sana ktu kutembea kwa miguu Kariakoo. Jiji limeshona kwa mpangilio ya wamachinga ya hovyo hovyo!Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Watamwambia hawana maeneo mbadala ambako watapata wateja, hapo makalla atasemaje.....
Mnaishije huko? Njooni uzunguni huku Arusha hakuna hizo kero. I feel so sorry for you.Kama mbagara rangi tatu mpita njia unachagua mawili upite barabarani ugongwe na gari au upite njia ya watembea kwa miguu utukanwe na machinga
Watarejea walikotokaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
dar ni mkoa na jiji pia, acha undeziSoma na uelewe vizuri
AiseeeeMnaishije huko? Njooni uzunguni huku Arusha hakuna hizo kero. I feel so sorry for you.
Hao waliyoko mbezi mwisho nafasi haiwatoshi!!safi sana.
kimsingi Karia koo kwa sasa inapaswa ihamie Maeneo ya MBEZI MWISHO, STENDI YA MAGUFULI.
JIJI la DSR ljnapaswa lipanuke.
tubadilike, wataalamu wa mipango miji wapo lkn hawataki kutumia taaluma zao vyema.
Ng'onda wewe umeona wapi nimekataa unaona raha kutukuna mtu usiye mfahamu huna adabu kabisadar ni mkoa na jiji pia, acha undezi
Hakuna cha mkakati,hayo ni matokeo ya serikali kushindwa.Usidanganyike wewe.
Machinga ndio wapiga kura wa CCM na wako kimkakati.
Subiri tamko kutoka juu kwamba Machinga wasibughuziwe!
Wiki sio mwaka hebu tuone meno ya hili agizo kama yatauma ama yatauma na kupulizaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Mtapinga kama kawaida yenu.....Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Huo ni usemi tu, tangu waanze kusema hivyo huu ni mwezi wa tano hakuna lolote walilofanya. Mkuu huyo huyo ameshindwa kuwaondoa Mbagala kwenye ujenzi wa mwendokasi! Wajenzi na wamachinga wamechamganyika kiasi hauwezi kujua panapojengwa kwani wamachinga wanatupa takataka mnamojengwa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
kwa kweli watoke barabarani. wapewe eneo la ikulu si rais kahamia Dodoma
Huwezi amini baba nina miezi sijaenda Kariakoo ni kero kubanana kama ndiziWeee Mwanangu wee.. wee ndo mteja Mkuu wa kila siku kununua Msimbazi,Congo na Kariakoo yetu?