The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,867
- 82,505
Huyu mkuu wa mkoa tulipigwa, hakuna agizo lake hata moja lililofanyiwa kazi na bado yupo ofisini, so sad.
Nani mpumbavu bwashee?Leo ni Terehe 5 mwezi wa 10 wamachinga bado wapo barabarani.
Haya matamko mengine ni ya kipumbavu Kama hayatekelezeki
28 January 2023
RC MAKALLA APIGA MARUFUKU BIASHARA KWENYE BARABARA YA MWENDOKASI
Asisitiza usafi na jiji la kijani kwa kupanda miti rafiki katika jiji la Dar es Salaam alipokuwa eneo la Mbagala jijini Dar es Salaam na kusifia muitikio mkubwa wa wakaazi wa jiji hilo kubwa kiasi kuwa moja ya majiji safi Afrika na mlipuko wa gonjwa la kipindupindu umepita mbali na jiji la Dar es Salaam.
Source : Dar es Salaam RS Digital
28 January 2023
Mgeni toka nchi jirani apigwa butwaa na usafi katika jiji la Dar es Salaam
Ajiuliza usafi huu unaonekana ni tabia ya wakaazi wake kwani ni ngumu kuona karatasi barabarani wakati alipokuwa akikatiza katika mitaa tajwa kadhaa inayokatiza viunga vya jiji letu la Dar es Salaam.