Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,182
- 15,853
Kiaje?Kitambulisho cha mpiga kura ni muhimu kwa Chadema siyo CCM!
Kiaje?Kitambulisho cha mpiga kura ni muhimu kwa Chadema siyo CCM!
Ni kweli. Yani mpaka unatembea barabarani maana kwenye njia ya mguu unaweza angusha vitu vyao jumba bovu likudondokeeHii sio Dar tu nadhani ni tatizo la nchi nzima maeneo ya mjini.
Ndio waende kumpigia kaburini huko,aliwapa kiburi sana."Msiwasumbue Machinga, hao ni wapiga kura wangu" Magufuli
Weee Mwanangu wee.. wee ndo mteja Mkuu wa kila siku kununua Msimbazi,Congo na Kariakoo yetu?Nampongeza kwa hili
Kwani walitoka wapi? Watarudishwa walikotokaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Mwanza katikati ya Mji na kwenyewe tabu tupu, waenda kwa miguu wanapata shida mno pa kupita hakuna"... waacheni wapiga kura wangu". Kuna kipindi mambo yalipelekwa kipumbavu sana; ndio chanzo cha matatizo yote haya.
Mmeanza kupiga ramli Mwacheni Rc afanye kazi yake.Niombe chama tawala kwa dharura waingilie kati swala la hawa wamachinga wanaopambani haki zao wakiwa uchi hapo Kariakoo.
Nadhani RC Makalla hajaeleweka vizuri hivyo chama kiingilie kati kuokoa jahazi.
Chadema inaingiaje hapo au ndo unaotaRC Makalla amehongwa na chadema ili aichongee serikali kwa wananchi.
RC Makalla amehongwa na chadema ili aichongee serikali kwa wananchi.Mimi nitangojea aweze kuwaondoa, na ifike 2026 bila hao wamachinga kurudi. Hapo nitampongeza mheshimiwa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
wesafi sana.
kimsingi Karia koo kwa sasa inapaswa ihamie Maeneo ya MBEZI MWISHO, STENDI YA MAGUFULI.
JIJI la DSR ljnapaswa lipanuke.
tubadilike, wataalamu wa mipango miji wapo lkn hawataki kutumia taaluma zao vyema.
Kweli, na ikatokea wamewaondoa kweli basi 2025 Ufipa anachukua dola.Mimi nitangojea aweze kuwaondoa, na ifike 2026 bila hao wamachinga kurudi. Hapo nitampongeza mheshimiwa.