RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
Hivi waliletwa na nani?
 
Jamani namuuliza huyo Makala DC wa Dar, hivyo vitambulisho mulivyowapitia wamachinga, wewe huvitambui? Au wataka kupingana na mwendazake kwakuwa alikutumbua?

Hivyo wataka kumalizia hasira zako kwa wamachinga?? Mwendazake alisema wasiguswe ni wapiga kura wake, wewe wamachinga hawakuhusu??

Huyu Samia aliyekurudisha, alipigiwa kura na hao hao unaowafukuza.
 
Ni vema hao walioko kwenye hifadhi ya bara bara mkawaacha, hao walipanga bizaa zao barabarani waelimushe, sio kuwafukuza!! Ukiwafukuza. Unatengeneza kundi la waharifu!!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Asante mods kwa kuweka hili sawa.
Kwani ulitaka mkuu wa mkoa atoke wapi?
Kwani huko barabarani nani aliwaleta?
Yale sio maeneo sahihi ya kufanya biashara.
 
Jamani namuuliza huyo Makala dc wa dar, hivyo vitambulisho mulivyowapitia wamachinga, wewe huvutambui? au wataka kupingana na mwendazake kwakuwa alikutumbua? hivyo wataka kumalizia hasita zako kwa wamachinga?? Mwendazake alisema wasiguswe ni wapiga kura wake, wewe wamachinga hawakuhusu?? Huyu Samia aliyekurudisha. alipigiwa kura na hao hao unaowafukuza.
Makala dc wa Dar! Samia alipigiwa kura na wamachinga! Yesu alitembea na mke wake!
 
Ni vema hao walioko kwenye hifadhi ya bara bara mkawaacha, hao walipanga bizaa zao barabarani waelimushe, sio kuwafukuza!! Ukiwafukuza. Unatengeneza kundi la waharifu!!
Kufanya biashara eneo lisilo sahihi ni uvunjifu wa sheria. Kosa wanalo tayari
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

View attachment 1930594

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

View attachment 1930596


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

View attachment 1930600
Tembelea POSTA mpaka MAGOGONI ni Uchafu mtupu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

View attachment 1930594

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

View attachment 1930596


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

View attachment 1930600
Mkuu

Lengo lao kuu ni kufuta nyayo za JPM lakini pia vitendo wanavyowafanyia wamachinga itaibua hamasa ya visasi na chuki zinazofanana na Hamza; the aftermath is next door, they have decided to set off the safety at their own risk whether knowingly or not being aware that the community may trigger sporadic backlash at a time convenient.
 
Kariakoo kero ni nyingi mno,
Aje atembelee huku jioni aone malori yalivyozuia njia, wagonjwa wanafia barabarani, wazee wanashindwa kutoka kwa majumba yao, viofisi vya usafirishaji katikati ya barabara, yaani ni kero kuliko maelezo,
Sio kuwaonea wamachinga tu
 
Back
Top Bottom