Hila nikweli 1000%, maharage yanaongeza hamu ya kusex kupita maelezo kabisa kabisa, me shaidi wa Hilo aisee, haswaa yapikwe kwa naziMkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai kuwa dawa hizo zina madhara na badala yake watumie vyakula vyenye madini ya Zink yakiwemo maharage aina ya Jesca yaliyofanyiwa utafiti na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole Jijini Mbeya.
View attachment 1921499
Mbeya sijui walikosea wapi.Mbeya ina bahati mbaya na ma rc
Vyeo vya bure hivyo, mara nyingi kitu ambacho hujakitolea jasho huwezi kuwa na uchungu nachoHivi vyeo kuna mtu kavipiga kipapai.. Yani mtu akishakipata halafu apewe kipaza sauti aongee mbele ya camera atatoa mashudu tupu
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mkuu kumbe kuna wakati unaweza kuleta uzi unaoweza kukuheshimisha! Biggest salute#HABARI RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca/https://t.co/BGxtebxtEx https://t.co/SlWySI7SgG
Hii nchi hii !!Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai kuwa dawa hizo zina madhara na badala yake watumie vyakula vyenye madini ya Zink yakiwemo maharage aina ya Jesca yaliyofanyiwa utafiti na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole Jijini Mbeya.
View attachment 1921499