Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Mjini ukitaka kuzini ni wewe tu na pesa yako; lodge kila kona lakini pia maisha yakupanga yanakuruhusu kuzini kila unapojisikia. Hii ni sababu kubwa ya wanaume wa mjini kuona tendo la zinaa ziyo tatizo na kubweteka.
Kijijini kuzini hadi uoe au uishi kwenye vichaka; la sivyo ukiwa sehemu ambayo hakuna vichaka unaweza maliza miezi hata sita unapanga na mpenzi wako kwenda kuzini. Kama ukitumia mazingira ya nje yaani vichaka maana yake hisia zako zinakuwa more effective na mbegu nyingi uzaliwa. Usipotumia kinga hata kama mpenzi hayupo kwenye mzunguko lazima tu shauku utapelekea mzunguko ubadilike na hapo ndipo tendo moja uzaa mimba.
Ukitaka kufanya majaribio ya utafiti huu ondoka huko mjini uje kijijini; ukikaa wiki tu kila mwanamke unamwona mzuri. Same applies kwa wanawake .
Lakini pia hata ukiwa na mpenzi wako wa siku zote mkaenda kijijini shamba huko ufanisi wenu utakuwa juu na utajiuliza hizi nguvu za kiume katoa wapi? Amezitoa kwenye scarcity yaani kuviziana.
Wenzetu wazungu wanatumia sana hizi mbinu kurejesha mahusiano; wanatenga muda wakuja Afrika huku likizo wanafanya na ziada.
Karibuni kijijini kukwepa upungufu wa nguvu za kiume na kike. Hata wafu wenye fedha, jengeni kijijini ndoa zenu zitadumu......ukiona mpenzi wako anaanza kuleta maomvi unamleta bush huku mnakula mahindi ya kuchoma na mlenda....atakushukuru kwa huduma
Kijijini kuzini hadi uoe au uishi kwenye vichaka; la sivyo ukiwa sehemu ambayo hakuna vichaka unaweza maliza miezi hata sita unapanga na mpenzi wako kwenda kuzini. Kama ukitumia mazingira ya nje yaani vichaka maana yake hisia zako zinakuwa more effective na mbegu nyingi uzaliwa. Usipotumia kinga hata kama mpenzi hayupo kwenye mzunguko lazima tu shauku utapelekea mzunguko ubadilike na hapo ndipo tendo moja uzaa mimba.
Ukitaka kufanya majaribio ya utafiti huu ondoka huko mjini uje kijijini; ukikaa wiki tu kila mwanamke unamwona mzuri. Same applies kwa wanawake .
Lakini pia hata ukiwa na mpenzi wako wa siku zote mkaenda kijijini shamba huko ufanisi wenu utakuwa juu na utajiuliza hizi nguvu za kiume katoa wapi? Amezitoa kwenye scarcity yaani kuviziana.
Wenzetu wazungu wanatumia sana hizi mbinu kurejesha mahusiano; wanatenga muda wakuja Afrika huku likizo wanafanya na ziada.
Karibuni kijijini kukwepa upungufu wa nguvu za kiume na kike. Hata wafu wenye fedha, jengeni kijijini ndoa zenu zitadumu......ukiona mpenzi wako anaanza kuleta maomvi unamleta bush huku mnakula mahindi ya kuchoma na mlenda....atakushukuru kwa huduma