PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

PostGE2025 RC Chalamila: Tutachukua hatua kwa tuhuma za Padri Kitima, kuhusu TANESCO kuhusika kwenye shambulio dhidi yake

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Ofisi ya Mkoa kwa kushirikiana na TANESCO haitabaki kimya kufuatia kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, kuhusu tukio la uvamizi alilodai lilihusisha kuzimwa kwa umeme na Shirika hilo.

Akizungumza leo Desemba 5, 2025 katika Hafla ya Uzinduzi wa Mita Janja za Umeme kwa Wateja wa TANESCO katika Ukumbi wa JNICC, RC Chalamila amesema kauli hizo ni nzito na zinahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Chalamila amesema alimsikia Padri Kitima akieleza kuwa siku aliyovamiwa kulikuwa na “conspiracy” (mpango) kati ya wavamizi na TANESCO, na kwamba Shirika lilizima umeme ili wahalifu waweze kumdhuru haraka.

Chalamila amesema amezungumza na Mkurugenzi wa TANESCO, Lazaro Twange, na kukubaliana kuwa kauli kama hizo zinapaswa kufanyiwa kazi ipasavyo kwa kuwa zinagusa taswira ya Shirika.

“Kauli kama hizo ni ngumu sana ambazo tunapaswa kuanza kuzifanyia kazi vizuri sana. Tumeawaambia wanasheria wafanye kazi yao bila kubaki kimya,” amesema RC Chalamila.

Amesema TANESCO anayoifahamu haiwezi kuhusika katika tukio lolote la kuzima umeme kwa lengo la kumdhuru raia, hivyo ni muhimu kupata maelezo ya ziada kutoka kwa Padri Kitima ili taswira ya Shirika hilo iendelee kuwa njema.

“Ukikuta kuna hayo maneno ndani ya mkoa unaouongoza, there is something to do (kuna la kufanya). Lazima kama Mkoa na Wanasheria tukae pamoja tumuulize vizuri ndugu yetu Padri Kitima, labda ana maelezo ya ziada,” amesema.

Ikumbukwe, Desemba 1, 2025 TANESCO ilikanusha vikali taarifa kuhusiana na Mahojiano ya Padri Kitima, ambapo Shirika hilo lilihusishwa na matukio ya kihalifu.

TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
Tz kuna vituko sana 🤣🤣
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Ofisi ya Mkoa kwa kushirikiana na TANESCO haitabaki kimya kufuatia kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, kuhusu tukio la uvamizi alilodai lilihusisha kuzimwa kwa umeme na Shirika hilo.

Akizungumza leo Desemba 5, 2025 katika Hafla ya Uzinduzi wa Mita Janja za Umeme kwa Wateja wa TANESCO katika Ukumbi wa JNICC, RC Chalamila amesema kauli hizo ni nzito na zinahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Chalamila amesema alimsikia Padri Kitima akieleza kuwa siku aliyovamiwa kulikuwa na “conspiracy” (mpango) kati ya wavamizi na TANESCO, na kwamba Shirika lilizima umeme ili wahalifu waweze kumdhuru haraka.

Chalamila amesema amezungumza na Mkurugenzi wa TANESCO, Lazaro Twange, na kukubaliana kuwa kauli kama hizo zinapaswa kufanyiwa kazi ipasavyo kwa kuwa zinagusa taswira ya Shirika.

“Kauli kama hizo ni ngumu sana ambazo tunapaswa kuanza kuzifanyia kazi vizuri sana. Tumeawaambia wanasheria wafanye kazi yao bila kubaki kimya,” amesema RC Chalamila.

Amesema TANESCO anayoifahamu haiwezi kuhusika katika tukio lolote la kuzima umeme kwa lengo la kumdhuru raia, hivyo ni muhimu kupata maelezo ya ziada kutoka kwa Padri Kitima ili taswira ya Shirika hilo iendelee kuwa njema.

“Ukikuta kuna hayo maneno ndani ya mkoa unaouongoza, there is something to do (kuna la kufanya). Lazima kama Mkoa na Wanasheria tukae pamoja tumuulize vizuri ndugu yetu Padri Kitima, labda ana maelezo ya ziada,” amesema.

Ikumbukwe, Desemba 1, 2025 TANESCO ilikanusha vikali taarifa kuhusiana na Mahojiano ya Padri Kitima, ambapo Shirika hilo lilihusishwa na matukio ya kihalifu.

TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
Kwa hiyo hoja zingine kama za Kitima kutekwa, majeruhi kupelekwa mochwari hakuzikia ila la umeme tu ndio alilisikia? Watanzania haki ya Mungu tunaongozwa na watu wenye dhamira ya kutuua. Kila mtanzania kwa uwezo wake apambane tuwatoe hawa mashetani. Tutaishi maisha magumu sana na ya kukwepa kifo kila siku kama wataendelea kuwepo madarakani
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Ofisi ya Mkoa kwa kushirikiana na TANESCO haitabaki kimya kufuatia kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, kuhusu tukio la uvamizi alilodai lilihusisha kuzimwa kwa umeme na Shirika hilo.

Akizungumza leo Desemba 5, 2025 katika Hafla ya Uzinduzi wa Mita Janja za Umeme kwa Wateja wa TANESCO katika Ukumbi wa JNICC, RC Chalamila amesema kauli hizo ni nzito na zinahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Chalamila amesema alimsikia Padri Kitima akieleza kuwa siku aliyovamiwa kulikuwa na “conspiracy” (mpango) kati ya wavamizi na TANESCO, na kwamba Shirika lilizima umeme ili wahalifu waweze kumdhuru haraka.

Chalamila amesema amezungumza na Mkurugenzi wa TANESCO, Lazaro Twange, na kukubaliana kuwa kauli kama hizo zinapaswa kufanyiwa kazi ipasavyo kwa kuwa zinagusa taswira ya Shirika.

“Kauli kama hizo ni ngumu sana ambazo tunapaswa kuanza kuzifanyia kazi vizuri sana. Tumeawaambia wanasheria wafanye kazi yao bila kubaki kimya,” amesema RC Chalamila.

Amesema TANESCO anayoifahamu haiwezi kuhusika katika tukio lolote la kuzima umeme kwa lengo la kumdhuru raia, hivyo ni muhimu kupata maelezo ya ziada kutoka kwa Padri Kitima ili taswira ya Shirika hilo iendelee kuwa njema.

“Ukikuta kuna hayo maneno ndani ya mkoa unaouongoza, there is something to do (kuna la kufanya). Lazima kama Mkoa na Wanasheria tukae pamoja tumuulize vizuri ndugu yetu Padri Kitima, labda ana maelezo ya ziada,” amesema.

Ikumbukwe, Desemba 1, 2025 TANESCO ilikanusha vikali taarifa kuhusiana na Mahojiano ya Padri Kitima, ambapo Shirika hilo lilihusishwa na matukio ya kihalifu.

TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
hata hivyo madogo wa mtandao hawakutaki tena
 
TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
Siku hiyo ya kuvamiwa Father Kitima, maeneo alipovamiwa kulikuwa hitilafunza dharura zilizosababishwa na nini ama kulikuwa na matengenezo gani yaliyopangwa? Je. Kwa aidha ya hayo matukio tajwa TANESCO walitoa taarifa ya kukosekana Umeme siku hiyo na siku nyingine?
===
Halafu Mkuu wetu wa Mkoa, hili la Tanesco ndiyo anaona la kijinai, vipi kuhusu kauli ya Father ya Askari aliyeamuru watu hai wapelekwe kwenye "majokofu"? Kwa nini wanajichanganya kirahisi namna hii na kuzidi kutibua hisia za watu?

Wapime kauli zao bwana kabla ya kuzisema.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Ofisi ya Mkoa kwa kushirikiana na TANESCO haitabaki kimya kufuatia kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, kuhusu tukio la uvamizi alilodai lilihusisha kuzimwa kwa umeme na Shirika hilo.

Akizungumza leo Desemba 5, 2025 katika Hafla ya Uzinduzi wa Mita Janja za Umeme kwa Wateja wa TANESCO katika Ukumbi wa JNICC, RC Chalamila amesema kauli hizo ni nzito na zinahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Chalamila amesema alimsikia Padri Kitima akieleza kuwa siku aliyovamiwa kulikuwa na “conspiracy” (mpango) kati ya wavamizi na TANESCO, na kwamba Shirika lilizima umeme ili wahalifu waweze kumdhuru haraka.

Chalamila amesema amezungumza na Mkurugenzi wa TANESCO, Lazaro Twange, na kukubaliana kuwa kauli kama hizo zinapaswa kufanyiwa kazi ipasavyo kwa kuwa zinagusa taswira ya Shirika.

“Kauli kama hizo ni ngumu sana ambazo tunapaswa kuanza kuzifanyia kazi vizuri sana. Tumeawaambia wanasheria wafanye kazi yao bila kubaki kimya,” amesema RC Chalamila.

Amesema TANESCO anayoifahamu haiwezi kuhusika katika tukio lolote la kuzima umeme kwa lengo la kumdhuru raia, hivyo ni muhimu kupata maelezo ya ziada kutoka kwa Padri Kitima ili taswira ya Shirika hilo iendelee kuwa njema.

“Ukikuta kuna hayo maneno ndani ya mkoa unaouongoza, there is something to do (kuna la kufanya). Lazima kama Mkoa na Wanasheria tukae pamoja tumuulize vizuri ndugu yetu Padri Kitima, labda ana maelezo ya ziada,” amesema.

Ikumbukwe, Desemba 1, 2025 TANESCO ilikanusha vikali taarifa kuhusiana na Mahojiano ya Padri Kitima, ambapo Shirika hilo lilihusishwa na matukio ya kihalifu.

TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
Hapo atadai hata waliomvamia siyo polisi, huyo chawa Chalamila naye tunamuunganisha na Samia. Wanavyokuja ndiyo tutakavyowapokea, welcome to the jungle dogo Chalamila.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Ofisi ya Mkoa kwa kushirikiana na TANESCO haitabaki kimya kufuatia kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, kuhusu tukio la uvamizi alilodai lilihusisha kuzimwa kwa umeme na Shirika hilo.

Akizungumza leo Desemba 5, 2025 katika Hafla ya Uzinduzi wa Mita Janja za Umeme kwa Wateja wa TANESCO katika Ukumbi wa JNICC, RC Chalamila amesema kauli hizo ni nzito na zinahitaji kuchunguzwa kwa kina.

Chalamila amesema alimsikia Padri Kitima akieleza kuwa siku aliyovamiwa kulikuwa na “conspiracy” (mpango) kati ya wavamizi na TANESCO, na kwamba Shirika lilizima umeme ili wahalifu waweze kumdhuru haraka.

Chalamila amesema amezungumza na Mkurugenzi wa TANESCO, Lazaro Twange, na kukubaliana kuwa kauli kama hizo zinapaswa kufanyiwa kazi ipasavyo kwa kuwa zinagusa taswira ya Shirika.

“Kauli kama hizo ni ngumu sana ambazo tunapaswa kuanza kuzifanyia kazi vizuri sana. Tumeawaambia wanasheria wafanye kazi yao bila kubaki kimya,” amesema RC Chalamila.

Amesema TANESCO anayoifahamu haiwezi kuhusika katika tukio lolote la kuzima umeme kwa lengo la kumdhuru raia, hivyo ni muhimu kupata maelezo ya ziada kutoka kwa Padri Kitima ili taswira ya Shirika hilo iendelee kuwa njema.

“Ukikuta kuna hayo maneno ndani ya mkoa unaouongoza, there is something to do (kuna la kufanya). Lazima kama Mkoa na Wanasheria tukae pamoja tumuulize vizuri ndugu yetu Padri Kitima, labda ana maelezo ya ziada,” amesema.

Ikumbukwe, Desemba 1, 2025 TANESCO ilikanusha vikali taarifa kuhusiana na Mahojiano ya Padri Kitima, ambapo Shirika hilo lilihusishwa na matukio ya kihalifu.

TANESCO ilieleza kuwa kukatika kwa umeme mara nyingi husababishwa na sababu za kiufundi kama hitilafu za dharura au matengenezo yaliyopangwa, na kwamba mambo hayo hayana uhusiano wowote na vitendo vya uhalifu.
Hatimaye umesha patiwa kazi ya mchongo,endelezeni juhudi za kuizamisha boti tunayosafiria pamoja.Ili kuulinda ukoo wa panya.
 
Yaani padri aliyenusurika kuuwawa kikatili amesema kabla ya kuvamiwa umeme ulikatika ndio tukio likatokea then regional commissioner anasema haamini kama tanesco wanaweza kufanya hivyo.

yaani teyari ameshafanya uchunguzi na kutoa majibu hapo kwa hapo..

then wakiambiwa viongozi wetu hamnazo wanaona watu wahaini.
Ina maana hata yeye mwenyewe RC alikuwa anafahamu mipango ile.
 
Huyu chai jaba mjinga sana, kaona samuya kachukua mrengo wa kupambana na TEC naye huyoo kama nyumbu anaiga tu bila tafakuri!

Mbona hakusema chochote kwa kauli ya shehe ubwabwa kukata watu vichwa wakiandamana?!
 
Back
Top Bottom