Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,760
- 8,527
Wajinga hawa daladala. Sasa wamesusa bajaji wanajipigia hela tu kiulaini. Ngoja wafe na njaa ndiyo watatia akili.
Usalama barabarani uzzingatiwe, kama Sheria ya nchi ni pita kushoto (RHD)Ila ni kweli maana dhumuni la vyombo vya usafiri ni kuwasafirisha abiria wafike wanapotaka kufika kwa wakati na bajaji pia ni chombo cha usafirishaji wa abiria.