King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,609
Zaidi ya comic.
Niliposikia ameenda shule nilishangaa sana, si ajabu alikuwa mtu wa phantoms!
Kabisa hafanani na msomi kabisa,bora ajiunge na kundi la FUTUHI au MAHANJAMI atuchekeshe , Hahaa alikuwa anaingia na mabomu kwenye pepa.