Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Dakika zake zinahesabika huyu. Ni wa kwanza kupewa jembe akashiriki kilimo cha mpunga mbozi.Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Eti hakuna Rais wala Makamu wa Rais..... Du kumbe uchaguzi una mambo kwa CCM - Ni kufa na kupona. Kasema ya moyoni mwake na kamaliza kama RC. Wana CCM hawa ndio ma-RC tulioachiwana Hayati M.