Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,793
AnajijitutumuaHuyu apumzishwe tu jaman
Ameshachoka hamna wala hana jipya analoweza kulitekeleza kwa sasa
Viatu vimemzidi awapishe wengine na tumwambie asante kwa kushiriki
AnajijitutumuaHuyu apumzishwe tu jaman
Ameshachoka hamna wala hana jipya analoweza kulitekeleza kwa sasa
Viatu vimemzidi awapishe wengine na tumwambie asante kwa kushiriki
Watu wenye vichwa dizaini ile ndio walivyo.Ni jitu la hovyo kabisa kuwahi kuongoza, vyeo vya RC na DC vifutwe kwenye katiba
Aibu snWatu wenye vichwa dizaini ile ndio walivyo.
Anaitafuta step ya mdundo mpya... DJ kachange mdundo juu kwa juu .. Atafanyaje sasa
Mdundo wa kwenda wapi tena Syolous
Jamaa anashukuru rais kafariki. Hii nchi hii!Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Mkuu wewe ndiyo muanzilishi wa kile chuo cha mtakatifu yohana ambacho makada wa uvccm hupita hapo kwa masomo ya jionMkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Hahahaaaa...... DG mstaafu wa TPDC!Mkuu wewe ndiyo muanzilishi wa kile chuo cha mtakatifu yohana ambacho makada wa uvccm hupita hapo kwa masomo ya jion
Mama D ameshakuwekea bwashee!Weka hiyo video au audio tuisikie
Mwambie Chalamila hivi; Mungu amechukizwa na matendo ya Magufuli hasa uwizi wa kura za Oktoba 25, 2021 ndiyo maana katika siku zote za 120 za kujitangaza mshindi hajawahi kuishi kwa amani, ilikuwa ni kwenye ma Oxygen concentrator na madripu. Hatimaye roho yake ikachukliwa kwenda JEHANAM.Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
😂😂😂😂😂😂 JamaniYaani yule jamaa huwa akianza kubwabwaja huwa hadi yale mashavu yanavimba...
Hahahaaaa........ Mashavu!😂😂😂😂😂😂 Jamani
hili jamaa ni lipunguani la mwisho kabisa. Lingepumzishwa tu likanywe pombe za kienyeji.Ukizingua nakuzingua tunazinguana
View attachment 1746393
Ulanzi au komoni?hili jamaa ni lipunguani la mwisho kabisa. Lingepumzishwa tu likanywe pombe za kienyeji.
Huyu mjinga sana,huwa wapoMkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua