Hii hapa .Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
kwa design yake apige mixer tu maana hana atakachopunguza ki akili. Nahisi huyu jamaa ni mfano wa halisi wa ule usemi 'akili ni nywele' maana kila kipara kinavyoongezeka na pumba zake zinazidi.Ulanzi au komoni?
Chalamila Dish limeyumba.Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Vipi cha njombe sio tena grade A.?Cha Makete.
Kile anatumiaga Sugu!
Huyu jamaa full comedian lakini anaongea ukweliMkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Haaaa .... Waonee huruma wanawake wenzako basi .... Unaweza kuzaa na allien wewe!!??RC Chalamila ni rare species alindwe hii mbegu isipotee.
Na mbowe pamoja na lemaCha Makete.
Kile anatumiaga Sugu!
Chalamila, you are a fool, read the constitution. The President remains President until another is sworn IN. He even still made appointments. I highly respected JPM, but some of his decisions like appointing some morons/imbeciles like this one, I didn’t agree with him hapo. We have RCs, RAS etc, what do they do. Chalamila can you tell me your description? What are you actually supposed to do on a daily basis?Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa mh Chalamila amesema ni heri Magufuli amekufa baada ya kuipatia CCM ushindi wa kishindo vinginevyo hali ingekuwa tete.
Chalamila amesema hapati picha hali ingekuwaje iwapo Magufuli angekufa wakati wa kampeni ambako hakuna Rais wala Makamu wa Rais.
My take; Wakati wa kampeni kunakuwa hakuna Rais na Makamu wa Rais?
Ukinizingua Nitakuzingua
Ana create scenarios.Hii hapa .
Vile vile nae anasema alikufa lakini madaktari hawataki kumaambiaView attachment 1746428
Huyu anatakiwa apelekwe hospHuyu mjinga sana,huwa wapo
Hatari snMnasema sasa, kafa eheee..!
Tuliwambia Gari la mkaaa tripu shamba tripu gereji, spana mkononi litawazikimikia.
Mkatuona hatumpendi Mtupoli.
Sisi kwetu raha tu,Mwizi, Tapeli, Muuaji na Mtesaji kafa kabisa kabisa .... Kwioooo..
🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏾♂️