Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Mabwawa yote ya kuogelea Tz yamejaa, maji kwenye ma bar na vibandani kwa mangi yananunuliwa kwa kasi ya ajabu.
Hii ni baada ya Ray Kigosi kusema weupe wake si wa mkorogo, bali unatokana na kunywa maji mengi tu.
Huyu jamaa sijuwi katumia sayansi gani.
Hii ni baada ya Ray Kigosi kusema weupe wake si wa mkorogo, bali unatokana na kunywa maji mengi tu.
Huyu jamaa sijuwi katumia sayansi gani.