barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Hauko peke yako, kwangu mimi ananiboa, anaakti na kuongea kwa kutumia nguvu sana. Huwa simuelewi kwa nini anashout. Sehemu ya emotions, yeye anapiga bonge la sauti na sauti kavu, anaakti kama shamba boi huku kakali nywele hadi nyusi na mchubuo, hovyo kabisa!From my heart, simpendi Ray.