TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 873
Mkuu inaonesha gari unazonunuaga ni vimeo....uliza wangapi wenye magari walishawahi kubadili hizo mambo zaidi ya kuskia tu kwa watu kama nyie
soma uelewe....nimesema natumia hizo gari kibiashara....kwa mwezi inaenda mtwara,tabora,mwanza,mikumi,serengeti etc[zaidi ya km 5000] kwahio ni vitu vya kawaida kubadili vitu vya kwenye matairi.