Biashara ya spare za pikipiki vs biashara ya vipodozi

Biashara ya spare za pikipiki vs biashara ya vipodozi

Cleverman324

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
413
Reaction score
668
Habari wakuu.. ni ipi biashara nzuri zaidi Kati ya spea za bodaboda au vipodozi kwenye mji unaonza kuchangamka...hasa maeneo kama ya kibaha kwa Mathias..mtaji kiasi gani tunaweza kuwa mzuri kwa hizo biashara pamoja na changa moto zake...naombeni msaada hapo
 
Duka la spare za pikipiki itakua mara 2 au 3 ya duka la vipodozi lililojaa.

Ukitoa gharama za kodi ya pango, TRA, makabati, nk utahitaji atleast Mil 3-5 kwa duka la vipodozi kua na mzigo mzuri.

Ongeza duka la madawa ya binadsmu (pharmacy)ingawa utahitaji vibari zaidi.

Ingawa utaongeza pesa zaidi ila aya maduka yanauza sana.

Spare za pikipiki (na bajaji) kidogo zitahitaji pesa zaidi. Angalau 8-10 Million ila uwe na fundi kwa nje. Mara chache mtu aje anunue plug au oil afu akawekee kwingine anataka afix pale pale.
 
Duka la spare za pikipiki itakua mara 2 au 3 ya duka la vipodozi lililojaa.

Ukitoa gharama za kodi ya pango, TRA, makabati, nk utahitaji atleast Mil 3-5 kwa duka la vipodozi kua na mzigo mzuri.

Ongeza duka la madawa ya binadsmu (pharmacy)ingawa utahitaji vibari zaidi.

Ingawa utaongeza pesa zaidi ila aya maduka yanauza sana.

Spare za pikipiki (na bajaji) kidogo zitahitaji pesa zaidi. Angalau 8-10 Million ila uwe na fundi kwa nje. Mara chache mtu aje anunue plug au oil afu akawekee

kwingine anataka afix pale pale.
Ahsante sana kaka mad max..Mimi nilitaka nipate picha..Mana ninauwezo kwa kuchukua frem mbili kwa pamoja..kama ni duka la vipodozi niwekee Ila mlango mwingine niweke sehem ya kuutengeneza kucha na urembo mdogo mdogo...kama ni spare za pikipiki niweke na sehemu ya car wash kwa pembeni..naomba muonhozo zaidi na mawazo yenu wadau..
 
Ahsante sana kaka mad max..Mimi nilitaka nipate picha..Mana ninauwezo kwa kuchukua frem mbili kwa pamoja..kama ni duka la vipodozi niwekee Ila mlango mwingine niweke sehem ya kuutengeneza kucha na urembo mdogo mdogo...kama ni spare za pikipiki niweke na sehemu ya car wash kwa pembeni..naomba muonhozo zaidi na mawazo yenu wadau..
Sijui wengine watasemaje, ila mimi kama budget sio issue ningesema komaa na spare za pilipiki. Ingawa ufanye simple research kwa wafanya biashara wa iyo kitu hapo mtaani.
 
Sijui wengine watasemaje, ila mimi kama budget sio issue ningesema komaa na spare za pilipiki. Ingawa ufanye simple research kwa wafanya biashara wa iyo kitu hapo mtaani.
Mkuu capital inasoma 7m
 
Back
Top Bottom