maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Mkuu ni ya 2004 iliingia bongo june 2013Xtrail yako ni model ipi mkuu na uliinunua kwa shs ngapi?
Mkuu ni ya 2004 iliingia bongo june 2013Xtrail yako ni model ipi mkuu na uliinunua kwa shs ngapi?
Maneno ya vijiweni hayo. Nina Nissan Xtrail ya mwaka 2004 mpaka sasa nina mwaka mmoja tokea View attachment 138974 imenunua, consumption ya mafuta ipo vizuri kabisa, more comfortable than Rav especially ukiwa safari ndefu. Ni gari inayovumilia sana hata katika njia za vumbi, wakati inafika ilikua ball joint inagonga nilikaa nayo Miezi minne huku ball joint inagonga na ni katoka nayo Iringa to bariad mara mbili ikiwa hivyo hivyo. Sasa waulize wenye GX 100 wakueleze kama ball joint ikianza kugonga atatumia muda gani. Kwa upande wa spare zipo nyingi tu tofauti ni hydrolic ya Gia box tu
Yah mi pia ni ya 2004 kama hiyo na I really enjoy the ride maana naendaga nayo ruaha national park na ile barabara ina chips (mabonde madogo madogo) ila full enjoyable... sema ndio vile wabongo tumezoea Toyota halafu kila siku tunadanganyana kuhusu nissan hasa kwa vitu tusivyovijua.... mbona service ya xtrail elfu 15 tu unapata oil filter,oil pia Gapco inatumika na mtu unafanya service kwa elfu hamsini tu in total...hizo gharama watu wanazoziogopa ni zipi? Maana spea Dar kibao unapiga simu tu inafika mkoaManeno ya vijiweni hayo. Nina Nissan Xtrail ya mwaka 2004 mpaka sasa nina mwaka mmoja tokea View attachment 138974 imenunua, consumption ya mafuta ipo vizuri kabisa, more comfortable than Rav especially ukiwa safari ndefu. Ni gari inayovumilia sana hata katika njia za vumbi, wakati inafika ilikua ball joint inagonga nilikaa nayo Miezi minne huku ball joint inagonga na ni katoka nayo Iringa to bariad mara mbili ikiwa hivyo hivyo. Sasa waulize wenye GX 100 wakueleze kama ball joint ikianza kugonga atatumia muda gani. Kwa upande wa spare zipo nyingi tu tofauti ni hydrolic ya Gia box tu
Yah mi pia ni ya 2004 kama hiyo na I really enjoy the ride maana naendaga nayo ruaha national park na ile barabara ina chips (mabonde madogo madogo) ila full enjoyable... sema ndio vile wabongo tumezoea Toyota halafu kila siku tunadanganyana kuhusu nissan hasa kwa vitu tusivyovijua.... mbona service ya xtrail elfu 15 tu unapata oil filter,oil pia Gapco inatumika na mtu unafanya service kwa elfu hamsini tu in total...hizo gharama watu wanazoziogopa ni zipi? Maana spea Dar kibao unapiga simu tu inafika mkoa
Sijawahi,ila hadi ubadili mkuu ni leo? Na unabadili mara ngapi kwani maana kama ukichkulia hivyo magari utayakimbia...sisi tunaangalia running costs tu ukiachilia mbali gharama zinazojitokeza ukipata nomaushawahi kubadilisha ball joint ambazo zinabadilishwa complete na wishbone?
xtrail inameza mafuta ile mbaya!
Hata kama unanunua mpya usijaribu kabisa Nisan utakoma kuzaliwa! ukija nalo huku kijijini ukawa na kamzigo kidogo tu kila kamlima lazima ushushe kwanza mzigo ndo lipande vinginevyo hupandi! kwenye mlima ni ya ovyo sana! Gari Toyota utaipenda mwenyewe!
RAV 4 ndo kila kitu achana na X-Trail
Sijawahi,ila hadi ubadili mkuu ni leo? Na unabadili mara ngapi kwani maana kama ukichkulia hivyo magari utayakimbia...sisi tunaangalia running costs tu ukiachilia mbali gharama zinazojitokeza ukipata noma
ushawahi kubadilisha ball joint ambazo zinabadilishwa complete na wishbone?
Just that ! ungetoa sababu nadhani ungeeleweka zaidi
Mkuu xtrail siku hizi zipo nyingi sana, na spare zake sio tatizo kama unavyofikiria, na ni genuine, sio kama za rav4 ambazo spare magumashi zimejaa madukani. Kuhusu uuzaji wa rav4 kuwa inauzika kirahisi, sidhani kama ni kweli, mnunuzi mwenye busara anaangalia ubora wa gari na si urahisi wa gariSpare parts za Toyota zinapatikana kirahisi na hata ukiishiwa au ukawa na shida ni very simple kuuza Rav 4 kuliko X trail, upande wa Mafuta mimi huwa sizungumzii katika gari isitoshe hiz gari mbili ulaji wake almost the same...!!
iweje uweze kununua gari zaidi ya 17m ushindwe kubadili hizo ball joint/wishbone? Ukimiliki gari usiogope gharama, hata ubane vipi gharama zipo tu.
Xtrail ndio mpango mzima, comfortable, stability, durability
iweje uweze kununua gari zaidi ya 17m ushindwe kubadili hizo ball joint/wishbone? Ukimiliki gari usiogope gharama, hata ubane vipi gharama zipo tu.
Xtrail ndio mpango mzima, comfortable, stability, durability
Mkuu xtrail siku hizi zipo nyingi sana, na spare zake sio tatizo kama unavyofikiria, na ni genuine, sio kama za rav4 ambazo spare magumashi zimejaa madukani. Kuhusu uuzaji wa rav4 kuwa inauzika kirahisi, sidhani kama ni kweli, mnunuzi mwenye busara anaangalia ubora wa gari na si urahisi wa gari
Kwamba umesimama wapi hiyo sio ishu kwangu mkuu, rav 4 nimetumia sana manual na auto na for the time being natumia xtrail so nasema kitu nachokijua...afterall xtrail hii ni ya pili baada ya nyingine ya uingereza yenyewe ni sport(2002) afu manual...so kama unaongea kwa choice yako ni vyema na siwezi kupinga mtazamo wakoumesoma post yangu ya kwanza nilipofananisha xtrail na rav4?kaisome then utajua where i stand.
Kwamba umesimama wapi hiyo sio ishu kwangu mkuu, rav 4 nimetumia sana manual na auto na for the time being natumia xtrail so nasema kitu nachokijua...afterall xtrail hii ni ya pili baada ya nyingine ya uingereza yenyewe ni sport(2002) afu manual...so kama unaongea kwa choice yako ni vyema na siwezi kupinga mtazamo wako
Mkuu inaonesha gari unazonunuaga ni vimeo....uliza wangapi wenye magari walishawahi kubadili hizo mambo zaidi ya kuskia tu kwa watu kama nyieunaijua gari hujawahi hata kubadili ball joint?u must be joking....
Kwamba umesimama wapi hiyo sio ishu kwangu mkuu, rav 4 nimetumia sana manual na auto na for the time being natumia xtrail so nasema kitu nachokijua...afterall xtrail hii ni ya pili baada ya nyingine ya uingereza yenyewe ni sport(2002) afu manual...so kama unaongea kwa choice yako ni vyema na siwezi kupinga mtazamo wako