Raisi Samia Aingia Katika Macho ya Bloomberg

Raisi Samia Aingia Katika Macho ya Bloomberg

Ryan Holiday

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
3,475
Reaction score
5,900
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

Kazi kwenu washauri wa Raisi, CCM, na UVCCM. Mimi na wasilisha tu, mtaamua wenyewe kuzika ama kusifirisha, hiyo ni juu yenu.​
Screenshot (132).png
 
Tanzanian police have arrested two local YouTubers as President Samia Suluhu Hassan’s government steps up a crackdown on dissent ahead of elections.

Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, were arrested in the northern town of Arusha on Friday for “improper use of social media,” police said in a statement.

The two have posted political talk shows on their Wachokonozi channel, featuring discussions about topics including the national debt, accountability, democracy and governance.

The arrests were condemned by Boniface Mwabukusi, president of the Tanganyika Law Society.

“Art is not a crime,” Mwabukusi said in a statement. “Criticizing a leader, disliking them, or pointing out the shortcomings of a leader or government is not an offense — it is a constitutional right.”

While Hassan lifted a ban on political rallies and some newspapers after succeeding the autocratic John Magufuli in 2021, opposition leaders have accused her of rowing back on promised democratic reforms.

Her government has blocked the main opposition Chadema party from contesting presidential and parliamentary elections in October and has charged its leader, Tundu Lissu, with the unbailable offense of treason, which carries a maximum punishment of death.
 
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

View: https://web.facebook.com/reel/1898326311006528
 
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

Kazi kwenu washauri wa Raisi, CCM, na UVCCM. Mimi na wasilisha tu, mtaamua wenyewe kuzika ama kusifirisha, hiyo ni juu yenu.​
View attachment 3379850
Waliosa Cha kuripoti.
 
Wapi Burembo, Wassira, nk ambao walikuwa wakipongeza ziara za Mama kwenda kututafutia misaada...

Nitafurahi siku Kizimkazi akikutana na huyu, hata kama Msigwa atampa madesa!

epg_2475162dbdbb0bb29ea23b92abc7fe89.jpeg
 
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

Kazi kwenu washauri wa Raisi, CCM, na UVCCM. Mimi na wasilisha tu, mtaamua wenyewe kuzika ama kusifirisha, hiyo ni juu yenu.​
View attachment 3379850
kusema hakusaidii, dictators do not heed to words! akiona hiki kitu kinatayarishwa kuja, she will heed to lawful demands 😀😀😀😀😀😀😀🙄🙄

1750674428579.png
 
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

Kazi kwenu washauri wa Raisi, CCM, na UVCCM. Mimi na wasilisha tu, mtaamua wenyewe kuzika ama kusifirisha, hiyo ni juu yenu.​
View attachment 3379850
Magazeti yaliyokosa soko,yanatafuta habari za watu mashuhuri,ili yapate soko,njaa kali
 
Baada ya gazeti maarufu la Marekani, The Wall Street Journal (WSJ), kuchapisha makala inayomkosoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya shirika jingine mashuhuri la habari nchini Marekani la Bloomberg kuripoti tukio jingine lenye utata. Kwenye taarifa yao ya hivi karibuni iliyochapishwa kupitia mtandao wa (X) zamani Twitter, Bloomberg imeeleza kuhusu kukamatwa kwa baadhi ya YouTubers nchini Tanzania ambao ni Jackson Kabalo, 32, and Joseph Mrindoko, 37, alimaarufu kama (WACHOKONOZI), kupitia post hiyo inaandika kama mfululizo wa uminyaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu unaoendelea nchini Tanzania.

Kazi kwenu washauri wa Raisi, CCM, na UVCCM. Mimi na wasilisha tu, mtaamua wenyewe kuzika ama kusifirisha, hiyo ni juu yenu.​
View attachment 3379850
Njoo Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom