Raisi Samia Aingia Katika Macho ya Bloomberg

Raisi Samia Aingia Katika Macho ya Bloomberg

Kama mtuhumiwa tayari anahesabiwa kuwa muhaini, basi kuna tatizo ndani ya mfumo wetu wa sheria.
Sheria inambebabeba ashukuru sana Tz inafata sheria vinginevyo muhaini yule ilitakiwa auwawe kwa firing squad
 
Basi tu acha tusiseme tukaonekana na sie wachokonozi lakini "Ikulu ni mahala patakatifu sana" kwake kupaweza, incompetence is everywhere
 
Sheria inambebabeba ashukuru sana Tz inafata sheria vinginevyo muhaini yule ilitakiwa auwawe kwa firing squad
Kwa kesi zenu za kubambikia. Shahidi mwenyewe wa mchongo.
 
kusema hakusaidii, dictators do not heed to words! akiona hiki kitu kinatayarishwa kuja, she will heed to lawful demands 😀😀😀😀😀😀😀🙄🙄

View attachment 3379873
Tutimize wajibu wetu sisi wenyewe hapa hapa. Uwezo huo tunao sana.

Hakuna sababu hata ndogo ya kuwategemea hao ambao wanakuja na bei zao za kutununua kama bidhaa; kama hawa waliopo wanavyofanya sasa.
 
wawe wanamtumia na mkwewe mwenye KIFUA KIPANA.

Maana ndiye mshauri mkuu.
 
Kwani hapa zinazungumziwa "habari za wapalestina", au waTanzania?
Nini maana yako, kwamba habari za wapalestina ni muhimu zaidi ya habari za waTanzania?
Bloomberg ni ya watanzania??
 
Back
Top Bottom