Donald Trump has been placed under arrest at a courthouse in Lower Manhattan.
The former US president is not wearing handcuffs but will have his fingerprints taken.
After processing, Trump will attend an arraignment hearing where criminal charges will be read out
We still don’t know the exact charges he faces - but they relate to money paid to buy the silence of former porn star Stormy Daniels.
US Congresswoman Marjorie Taylor Green earlier addressed Donald Trump's supporters in front of the courthouse.
Trump - running for the presidency in 2024 - will be released on bail and plans to return to Florida later.
BBC
========
Donald Trump amewekwa chini ya ulinzi katika mahakama moja huko Lower Manhattan
Rais huyo wa zamani wa Marekani hajavaa pingu lakini atachukuliwa alama za vidole.
Baada ya kushughulikiwa, Trump atahudhuria kikao cha mashtaka ambapo mashtaka ya jinai yatasomwa.
Bado hatujui mashtaka anayokabiliwa nayo - lakini yanahusiana na pesa zilizolipwa kununua ukimya wa nyota wa zamani wa ponografia Stormy Daniels.
Mbunge wa Marekani Marjorie Taylor Green awali aliwahutubia wafuasi wa Donald Trump mbele ya mahakama
Trump - anayewania kiti cha urais 2024 - ataachiliwa kwa dhamana na anapanga kurejea Florida baadaye.
Chanzo
The former US president is not wearing handcuffs but will have his fingerprints taken.
After processing, Trump will attend an arraignment hearing where criminal charges will be read out
We still don’t know the exact charges he faces - but they relate to money paid to buy the silence of former porn star Stormy Daniels.
US Congresswoman Marjorie Taylor Green earlier addressed Donald Trump's supporters in front of the courthouse.
Trump - running for the presidency in 2024 - will be released on bail and plans to return to Florida later.
BBC
========
Donald Trump amewekwa chini ya ulinzi katika mahakama moja huko Lower Manhattan
Rais huyo wa zamani wa Marekani hajavaa pingu lakini atachukuliwa alama za vidole.
Baada ya kushughulikiwa, Trump atahudhuria kikao cha mashtaka ambapo mashtaka ya jinai yatasomwa.
Bado hatujui mashtaka anayokabiliwa nayo - lakini yanahusiana na pesa zilizolipwa kununua ukimya wa nyota wa zamani wa ponografia Stormy Daniels.
Mbunge wa Marekani Marjorie Taylor Green awali aliwahutubia wafuasi wa Donald Trump mbele ya mahakama
Trump - anayewania kiti cha urais 2024 - ataachiliwa kwa dhamana na anapanga kurejea Florida baadaye.
Chanzo