JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Miami akikabiliwa na makosa saba yakiwemo ya kumiliki nyaraka za siri za Serikali.
Wakili wa Trump ameweka wazi kuwa Mwanasiasa huyo atafika Mahakamani hapo Juni 13, 2023 lakini kwa sasa wanasubiri Hati ya Mashitaka.
Wakati huohuo, Idara ya Usalama inatarajia kukutana na wafanyakazi wa Trump ikiwemo walinzi wake, leo Juni 9, 2023 kwa ajili ya kupanga utaratibu wa msafara wa Trump kuelekea Mahakamani.
""""""""""""""""""'''""""""""
Trump will show up on Tuesday, his lawyer says
The former President's attorney, Mr Trusty, has confirmed that Donald Trump will appear in court in Miami next week.
Speaking to CNN, he said he was expecting a copy of the indictment ''sometime between now and Tuesday afternoon.
"If they want to continue to play games, they'll give it to us at 3:01pm, Tuesday. ''
""""""""""""
Secret Service will meet with President Trump's staff on Friday.
A law enforcement source has confirmed to CBS News, the BBC's domestic partner, that the US Secret Service will be meeting with former President Donald Trump's security and staff Friday.
The secret service agents assigned to the president will develop a plan for Donald Trump's travel and appearance for his arraignment in Miami.
Agents will be tasked with securing the federal courthouse and surrounding areas for the former president's safety.
Wakili wa Trump ameweka wazi kuwa Mwanasiasa huyo atafika Mahakamani hapo Juni 13, 2023 lakini kwa sasa wanasubiri Hati ya Mashitaka.
Wakati huohuo, Idara ya Usalama inatarajia kukutana na wafanyakazi wa Trump ikiwemo walinzi wake, leo Juni 9, 2023 kwa ajili ya kupanga utaratibu wa msafara wa Trump kuelekea Mahakamani.
""""""""""""""""""'''""""""""
Trump will show up on Tuesday, his lawyer says
The former President's attorney, Mr Trusty, has confirmed that Donald Trump will appear in court in Miami next week.
Speaking to CNN, he said he was expecting a copy of the indictment ''sometime between now and Tuesday afternoon.
"If they want to continue to play games, they'll give it to us at 3:01pm, Tuesday. ''
""""""""""""
Secret Service will meet with President Trump's staff on Friday.
A law enforcement source has confirmed to CBS News, the BBC's domestic partner, that the US Secret Service will be meeting with former President Donald Trump's security and staff Friday.
The secret service agents assigned to the president will develop a plan for Donald Trump's travel and appearance for his arraignment in Miami.
Agents will be tasked with securing the federal courthouse and surrounding areas for the former president's safety.