Possible watu hawataki vita ya Ukraine iishe kwakua wanauza silaha kwa wingi na kingine wanataka malighafi ya dunia Russia ikiwepo so anapambana na watu wake wa ndani pia tena ndio wanaowafanya viongozi wa EU kua vigeugeuWakuu
Hivi mmepita huko X hivi karibuni
View attachment 3458605
Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi.
Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na pia hii weekend yote hana any official meeting au schedule, kitu ambacho sio cha kawaida
View attachment 3458607
Lakini pia makamu wa Rais JD Vance akiongea hivi karibuni amesema kuwa "Japo hataki itokee lakini yuko tayari kuchukua kijiti iwapo Baba Ivana litamkuta lolote"
Sasa naomba kuuliza wakuu, na nyie mmesikia hizi taarifa au feed yangu ya X inanidanganya?
View attachment 3458606
Ndio lilikuwa lengo lake. Ila mambo yamebadilika baada ya Urusi kushtukia na kuugeuza mchezo.Mkuu hivi kumbe ndio alikuwa na dhamira hiyo 👆???
Ndomana huwa nawadiss sana Wamarekani aisee.
Kwahiyo inawezekana Putin ndio amemuwahi na kumgusisha sumu kali sana Aina ya Novichok?Ndio lilikuwa lengo lake. Ila mambo yamebadilika baada ya Urusi kushtukia na kuugeuza mchezo.
What goes around comes around.
Yeah si unajua Putin alishapitia vitengo hatari, na ana uzoefu wa kutosha kwenye maswala hayo. Hivyo alipoona kubwa jinga limejaa kwenye 18 ya mfumo wake akafanya kweli.Kwahiyo inawezekana Putin ndio amemuwahi na kumgusisha sumu kali sana Aina ya Novichok?
Majaliwa!!!!!???? Mnatafuta kudanganywa na hawala wa Jesca kiahoaTumuulize kasimu
Hata hivyo kwenye medani hizo Trampa aka kidampa ni mwepesi sana kwa the former KGB officer, Vladmia Putin.Yeah si unajua Putin alishapitia vitengo hatari, na ana uzoefu wa kutosha kwenye maswala hayo. Hivyo alipoona kubwa jinga limejaa kwenye 18 ya mfumo wake akafanya kweli.
Nani aliyetaja vichaa, ama umekosea kunukuu?Hayo ya kichaa unaongea wewe,Mimi sijataja habari ya vichaa katika komenti yangu.
Una ugomvi na Kiranga ?
Nada Sar😚sasa😂Huko mbele hawafi kibwege
Sorry,mkuu.Nani aliyetaja vichaa, ama umekosea kunukuu?
Ataibuka soon, kuendelea kuunguruma! soonIsije ikawa na marekani Kuna wanamtandao ambao wamepita naye🤔.
Hapana mola amlinde sana trump siombei kabisa haya mambo
Kwa kujitungia tu vistori uchwara hamjambo ww ndo unae fahama kua Putin alitaka kuuliwa na trump kuliko fsb/kgb??Huyo Kenge acha afe tu. Maana hana faida katika dunia.
Ameshafanya dhambi nyingi kuliko mema.
Waswahili wanasema "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI.
Alikuwa na lengo la kummaliza Putin kule Alaska, sasa mwisho wa siku kajikuta kamalizwa yeye.
Rest in Hell Kenge wewe..
Ana ubavu buo? Damu za walibya zinamtafuna mbwayuleDeep state wakiongozwa na Obama ndio kazi zao hizi ,Obama kama Kikwete