Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

Kwa ku
Kwa kujitungia tu vistori uchwara hamjambo ww ndo unae fahama kua Putin alitaka kuuliwa na trump kuliko fsb/kgb??
Tukisema akili zenu wavaa vipedo ni kama kisoda mna mind..
Halafu jamaa anaongea kwa kujiamini kama anaongea pointi kabsa kumbe ni utumbo mpana mtupu
 
Wakuu

Hivi mmepita huko X hivi karibuni

View attachment 3458605

Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi.

Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na pia hii weekend yote hana any official meeting au schedule, kitu ambacho sio cha kawaida

View attachment 3458607

Lakini pia makamu wa Rais JD Vance akiongea hivi karibuni amesema kuwa "Japo hataki itokee lakini yuko tayari kuchukua kijiti iwapo Baba Ivana litamkuta lolote"


Sasa naomba kuuliza wakuu, na nyie mmesikia hizi taarifa au feed yangu ya X inanidanganya?


View attachment 3458606
Hao huko siyo huku kwenu, anaugua mafua tu wanasema ,alipatwa na korona tu asubuhi matangazo itakuwa kifo!
 
Mbona juzi tu nimemuona anagawa kofia nyekundu KWA sababu wafanyakazi na wafanya usafi ikulu
 
Muda, muda ni mwalimu mzuri,
Kuna watu walisema sana kuhusu Kagame miezi kadhaa ila muda ni mwalimu mzuri
 
Ignore this nonsensical news from laymen most of whom are diehard jihadists. I remember recently they spread the news that Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu had died, when that was not true.
 
Kwa ku
Kwa kujitungia tu vistori uchwara hamjambo ww ndo unae fahama kua Putin alitaka kuuliwa na trump kuliko fsb/kgb??
Tukisema akili zenu wavaa vipedo ni kama kisoda mna mind..
Stress za maisha zitakuja kukumaliza.

Tafta demu dogo upunguze makasiriko. Kama kilichoandikwa hapo kwamba ni "tetesi" hujakielewa sina la kukusaidia

Go and touch some grass!
 
Alipotea sam100 siku mbili tatu alipotoka komoro watu wakazusha hayupo kumbe alikuwa kizimkazi anakula bata
 
Mkuu hivi kumbe ndio alikuwa na dhamira hiyo 👆???

Ndomana huwa nawadiss sana Wamarekani aisee.
Kwahiyo ishu za Alaska tena za watu smart kabisa umeaminishwa na mswahili aliyeko Ikwiriri nawe ukaamini kirahisi kabisa!? Ni ajabu!
 
Ewe Mungu muumba mbingu na ardhi wakumbuke na viumbe vyako dhaifu wa Jamhuri ya Wadangayika, wapumzishie uozo walionao.
 
Back
Top Bottom