Common Folk
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 894
- 3,987
in this worldWakuu
Hivi mmepita huko X hivi karibuni
View attachment 3458605
Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi.
Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na pia hii weekend yote hana any official meeting au schedule, kitu ambacho sio cha kawaida
View attachment 3458607
Lakini pia makamu wa Rais JD Vance akiongea hivi karibuni amesema kuwa "Japo hataki itokee lakini yuko tayari kuchukua kijiti iwapo Baba Ivana litamkuta lolote"
Sasa naomba kuuliza wakuu, na nyie mmesikia hizi taarifa au feed yangu ya X inanidanganya?
View attachment 3458606
Wakuu
Hivi mmepita huko X hivi karibuni
View attachment 3458605
Duru zinasema kuwa Donald Trump amefariki japo hakuna confirmation kutoka kwenye sources ambazo ni rasmi.
Kwanza hajaonekana kwa siku takriban mbili na pia hii weekend yote hana any official meeting au schedule, kitu ambacho sio cha kawaida
View attachment 3458607
Lakini pia makamu wa Rais JD Vance akiongea hivi karibuni amesema kuwa "Japo hataki itokee lakini yuko tayari kuchukua kijiti iwapo Baba Ivana litamkuta lolote"
Sasa naomba kuuliza wakuu, na nyie mmesikia hizi taarifa au feed yangu ya X inanidanganya?
View attachment 3458606
KumekuchaDeep state wakiongozwa na Obama ndio kazi zao hizi ,Obama kama Kikwete
Uwe na subira na utulivu.Dunia haitaki uwe na huruma wala kutaka kuonewa huruma.Yule ndiye mwamba sasa.Huyo Kenge acha afe tu. Maana hana faida katika dunia.
Ameshafanya dhambi nyingi kuliko mema.
Waswahili wanasema "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI.
Alikuwa na lengo la kummaliza Putin kule Alaska, sasa mwisho wa siku kajikuta kamalizwa yeye.
Rest in Hell Kenge wewe..
YeahUwe na subira na utulivu.Dunia haitaki uwe na huruma wala kutaka kuonewa huruma.Yule ndiye mwamba sasa.
Tulizana MkuuKuna wapumbavu watamtaja Rostam
🤝🇮🇷🇺🇸 "This man [Trump] will also turn to dust, and his body will become food for snakes and ants, and the Islamic Republic will continue to stand."
— Ayatollah Khamenei, 2020
🟡 @NEWWORLDORDYR
Mkuu hivi kumbe ndio alikuwa na dhamira hiyo 👆???Alikuwa na lengo la kummaliza Putin kule Alaska, sasa mwisho wa siku kajikuta kamalizwa yeye.
Hakuna hicho kitu, Litrump lipo linadunda tu.Deep state wakiongozwa na Obama ndio kazi zao hizi ,Obama kama Kikwete
Hakuna mtu aliyekufa ndugu, unafurahi na kutukana bure tu.Huyo Kenge acha afe tu. Maana hana faida katika dunia.
Ameshafanya dhambi nyingi kuliko mema.
Waswahili wanasema "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI.
Alikuwa na lengo la kummaliza Putin kule Alaska, sasa mwisho wa siku kajikuta kamalizwa yeye.
Rest in Hell Kenge wewe..
Hadi vichaa kama hao kina viranga wanaendaga marekaniTumuulize Kiranga duru zinasemaje hapo US.
Kwamba wako wanatengeneza roboti la kumreplace!🤣🙌Kuna kikao cha Siri huko . Nchi hzo hawafichi ila walianza hivi kwa papa yule ..