Rais wa kwanza mwanamke kutoka Tanzania kuhutubia Baraza Kuu la Usalama la 76 New York, tarehe 23|9|2021, fahari iliyoje kwa nchi yetu

Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.

Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)

Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,

NINI MATARAJIO YAKO?



View attachment 1942495

View attachment 1949871

View attachment 1949891
 
#happy birthday Tanganyika

Rais wangu Samia Suluhu Hassan anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T | SG kwa TZS 6.5T na miradi mingine huku akiachilia vicheko kwa makundi mbalimbali ya watanzania,​

" Hakuna kama Samia "​


Ukichukua gharama za miradi miwili mikubwa ya SGR na SG|JNHPP inayoendelea kwa sasa yaani SGR Isaka -Mwanza kilometa 341 kwa TZS 3.02trl ,Makutupora-Morogoro kilometa 422 kwa TZS 4.4trl ,Dar -Morogoro kilometa 300 kwa TZS 2.7trl na SG|JNHPP $2.9BL au TZS 6.55trl Jumla yake ni Tshs 16.6trl achilia mbali miradi mingine mipya na ile iliyoachwa na Hayati Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli miradi hii yote Rais Samia Suluhu Hassan anaziendeleza tena kwa BOQ zilezile,
===
Kutoka kwa Rais Samia kinachonivutia zaidi ni hivi vicheko kwa haya makundi mbalimbali najiuliza amewezaje yote haya yaliyowashinda watangulizi wake tena waliojiita wanaume wa shoka?!
===
Kicheko cha Rais Samia na wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 11 hawakupewa mikopo,Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020|21 hadi 570BL FY2021|22 na kufanya kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea,
===
Rais Samia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika hao watakatwa 9% tu ( single digits) FY2021|22 kutoka 15% ya FY2020|21,Kwa lugha rahisi take home za watu hawa zimepaa kwa 6% nivicheko kila kona ya nchi na Rais Samia Suluhu Hassan,
===
Kicheko cha Rais Samia na Wafanyakazi,Sote tunafahamu,kwa miaka mitano ( 5 ) mfululizo tumeshuhudia wafanyakazi wa Umma hawajapandishwa vyeo|madaraja,lakini ndani ya miezi hii michache mama ameshatoa TZS 509BL, kwenye bajeti ya FY2021|22 Yaani 449BL za madaraja|vyeo na 60BL za malimbikizo ya mishahara na tayari Pesa hizi zimeleta vicheko kwa wafanyakazi,
===
Rais Samia amepunguza kodi (PAYE) toka 9% FY2020|21 mpaka 8% hivi sasa,Kwa utendaji huu hivi Wafanyakazi mnamtaka nani zaidi kama sio Rais Samia? kwa lugha rahisi FY2021|22 ameongeza mishahara ya wafanyakazi wote wa Serikali na binafsi kwa 1% kwa kuwarudishia hiyo 1% ya mishahara yao, na kwakufanya hivyo Serikali itatumia|itapoteza kiasi cha Tshs 14.1781BL kwenye bajeti yake ya FY2021|22 fedha ambayo itarudishwa kwa wafanyakazi kama nyongeza ya mishahara yao
===
Kicheko cha Rais Samia na wasio Ajiriwa,kwa mara ya mwisho ilikuwa FY2015|16 wakati wa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipoachilia ajira mpya elfu 52 trh 01|05|2015,Leo ni miaka mitano imepita ila kwa miezi michache ya Mama Samia tunashuhudia tena ajira mpya za Serikali elfu 40 kwa FY2021|22 kwa gharama ya Tshs 239BL na 120BL kwaajili ya kubadili muundo wa Utumishi,
===
Maajabu zaidi ya Mama Samia tayari amesajili miradi mikubwa mipya 93 yenye thamani ya $1.6BL karibu TZS 3.23trl ambayo nayo itaajiri watu 23,600 na kufanya ndani ya hivi vimiezi vichache Rais Samia atatoa Jumla ya nafasi 53,600 za ajira achilia mbali miradi mingine mingi ya sekta binafsi|Umma inayoendelea kutoa ajira lengo likiwa ni kufikia ajira 8M ifikapo mwaka 2025 kama Ilani inavyotaka,
===
Kicheko cha Rais Samia Majimboni,Bila kujali ukubwa wa jimbo Rais Samia FY2021|22 ameshatoa TZS 132BL sawa na Tshs 500M katika kila Jimbo kwa majimbo yote 264 kama fedha za maendeleo ya Jimbo hizi ni mbali na fedha za mfuko wa Jimbo,fedha hizi zimerudisha tabasamu kwa Wabunge hasa wa Majimbo,
===
Mama Samia ametoa tena TZS 322.158BL kama bajeti ya nyongeza kwaajili ya Ujenzi wa Vyumba 10,000 vya madarasa Zahanati 555,Vituo vya afya 121,
===
Rais Samia hakuishia hapo bajeti ya TARURA pia ameiongeza kwa 254% yaani kutoka 273BL FY 2020|21 hadi 966.43BL FY2021|22 ili kumaliza kila barabara korofi Mjini na Vijijini|,Nimwendo wa vicheko tu Watanzania tumtake nani kama sio Samia?
===
Kicheko cha Rais Samia na wafanyabiashara|Wawekezaji, Mhe Rais Samia Ndio rais pekee aliyetangaza hadharani kuwa hahitaji kodi za Kishetani na akafuta jumla ya kodi|tozo zote kandamizi zipatazo 232 FY2021|22 bila kujali hasara ya Tshs 55.49997BL ambayo Serikali yake itapata kwa kuondoa tozo|kodi hizo nia yake aongeze idadi ya walipa kodi kutoka 3.4M waliopo na matokeo tayari wote tumeanza tumeyaona .
===
Nchi hii tangu tupate uhuru sijawahi kusikia tozo|kodi zaidi ya 230 zikifutwa kwa kwamkupuo Kama ambavyo mama ameachilia kicheko hiki kwani hataki kabisa Tax economy hakika kesho yetu ni bora sana,
===
Pamoja na kukataa kodi za kishetani na kuondoa tozo kandamizi bado Miradi yote ya Watangulizi wake anaiendeleza sawasawa ikiwemo SGR $4.64BL au TZS 10.2trl,SG $2.9BL au TZS 6.5trl,Ununuzi wa ndege mpya,barabara zote ujenzi unaendelea, madaraja yote,meli zote,
===
Pamoja na haya yote kufanyika bado Wafanyakazi wetu ni vicheko,Wafanyabiashara|wawekezaji wetu ni vicheko,bodaboda wetu ni vicheko, machinga wetu ni vicheko,wanafunzi wetu hasa wa elimu ya juu ni vicheko, wafugaji wetu ni vicheko,wakulima wetu ni vicheko, Wapinzani nao ni vicheko hata wewe unayesoma naamini, Tayari na wewe unakicheko chako umecheka na Mama Samia Suluhu
===
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
===


View attachment 2006380
 
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.

Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)

Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,

NINI MATARAJIO YAKO?



View attachment 1942495

View attachment 1949871

View attachment 1949891

"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.

Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)

Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,

NINI MATARAJIO YAKO?



View attachment 1942495

View attachment 1949871

View attachment 1949891

Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Mwezetu CM 1774857 maisha yako mazuri sana.Unanyuzi zaidi ya tano wiki hii za kusifia wakati wezako tunawakiwa na jua.Maisha haya tuendele kumushukuru Mungu tu binadamu sio kabisa.
 
Mwezetu CM 1774857 maisha yako mazuri sana.Unanyuzi zaidi ya tano wiki hii za kusifia wakati wezako maisha tight.
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais wa kweli basi ni sasa, Mungu tujalie heri kuelekea 2025|30
 
Back
Top Bottom