Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
#TUMEKUELEWA RAIS WETU
CCM moto mkali awamu hii,Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
Wewe hata kingereza unajua mama,
Wakati wa Nyerere Tanzania ilifahamika na kusifika kwa sababu ya misimamo yake ya kutopenda dhulma, ubaguzi wa rangi na ukandamizaji hasa kwa nchi za Kiafrica, pia kwa kutosimama upande wowote wakati ule wa vita baridi kati ya mabepari na wakomonisti. Sasa hivi tuanze kujenga legancy yetu kwa namna fulaniTanzania itaishia tens kwenye ramani ya dunia,Kama enzi za Mwalimu Nyerere.nchi yetu ilifahamika na kuwa na marafiki wengi Sana duniani.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile. Tunakwenda kuwa na Tanzania nzuri na Tanzania Njema kuliko Tanzania ile.Ubunge wa Bashiru Ali, wachambuzi wanasemaje? – DW – 01.04.2021
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge. Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii? Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina...p.dw.com
Hongera sana Mama Samia
P
Wanafanya nn? Biden nafikiri alienda juzi akaongea kasepa kabisa wao kwenda kukaa mwezi kule hawaoni hatariwakati maza anahutubia kama hawa marais walikuwemo ukumbini basi nihukumiwe - Biden, Xi Jinping, Emmanuel Macron, Vladimir Putin na Boris Johnson.
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.
Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)
Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,
NINI MATARAJIO YAKO?
View attachment 1942495
View attachment 1949871
View attachment 1949891
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.
Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)
Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,
NINI MATARAJIO YAKO?
View attachment 1942495
View attachment 1949871
View attachment 1949891
Unajua kabisa huu ni upotoshaji mkubwa..kuna mwenzio ameleta uzi kama huu muda si mrefu tumempa facts amekimbia...japo napongeza kama kweli kuna uwekezaji huu mkubwa waja lakini sio matokeo ya hiyo documentary ya Royal tour! waziri kadanganya tu kwa sababu zake...Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
Mtu anasifiwa kwa kutimiza jukumu lake??????????Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Kuna ubaya gani?Mtu anasifiwa kwa kutimiza jukumu lake??????????
mtembea bure sio mkaa bure,
Tunataka wawekezaji tu
Mungu amuongoze mama yetu, Naamini tutakuwa vizuri tu
Mama karibu nyumbanifact ajitahidi kupata wawekezaji serious hata watano tu,
Nyie chadema ndio mlituchelewesha sanaWakati huo huo... ziara ya kwenda Kazuramimba kuangalia hali ya miundombinu ya barabara au hapo Mwamanimba kuona jinsi wakulima wa wanavyodhulumiwa mazao yao na bodi ya pamba imeshindikana! Mawaziri kazi yao kupiga porojo tu wanajua boss wao hawezi kufika site! Baraza la usalama UN litainua uchumi wa nchi na kuongeza ajira kwa vijana? Yaani kuna mambo yanatia hasira sana!View attachment 1942645View attachment 1942647
Hoja za huyu jamaa zikoje?