Rais wa kwanza mwanamke kutoka Tanzania kuhutubia Baraza Kuu la Usalama la 76 New York, tarehe 23|9|2021, fahari iliyoje kwa nchi yetu

#TUMEKUELEWA RAIS WETU

IMG-20210924-WA0012.jpg
 
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
 
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
CCM moto mkali awamu hii,
 
Tanzania itaishia tens kwenye ramani ya dunia,Kama enzi za Mwalimu Nyerere.nchi yetu ilifahamika na kuwa na marafiki wengi Sana duniani.
Wakati wa Nyerere Tanzania ilifahamika na kusifika kwa sababu ya misimamo yake ya kutopenda dhulma, ubaguzi wa rangi na ukandamizaji hasa kwa nchi za Kiafrica, pia kwa kutosimama upande wowote wakati ule wa vita baridi kati ya mabepari na wakomonisti. Sasa hivi tuanze kujenga legancy yetu kwa namna fulani
 
Wewe mnafiki hebu fumba mdomo wako.
Kila upumbavu alioufanya Magufuli ulikuwa ukiushadadia, Leo hii unajifanya kujikosha na kuipondea serikali ya Magufuli.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya...
Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.
Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile. Tunakwenda kuwa na Tanzania nzuri na Tanzania Njema kuliko Tanzania ile.
Hongera sana Mama Samia

P
 
wakati maza anahutubia kama hawa marais walikuwemo ukumbini basi nihukumiwe - Biden, Xi Jinping, Emmanuel Macron, Vladimir Putin na Boris Johnson.
 
wakati maza anahutubia kama hawa marais walikuwemo ukumbini basi nihukumiwe - Biden, Xi Jinping, Emmanuel Macron, Vladimir Putin na Boris Johnson.
Wanafanya nn? Biden nafikiri alienda juzi akaongea kasepa kabisa wao kwenda kukaa mwezi kule hawaoni hatari
 
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.

Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)

Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,

NINI MATARAJIO YAKO?



View attachment 1942495

View attachment 1949871

View attachment 1949891

Huna uwezo wa kutumia rasilimali za nchi yako kwa ajili ya maendeleo ya watu wako hata kama utapata nafasi ya kuhutubia malaika haisaidii
 
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa

Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.

Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Pamoja na mambo mengine Mhe Rais pia atahudhuria kilele cha mikutano ya kujadili masuala ya mabadiliko ya tabia nchi, Usalama wa chakula duniani pamoja utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo endelevu ( SDGs)

Bilashaka atashangaza ,atastaajabisha wengi,

NINI MATARAJIO YAKO?



View attachment 1942495

View attachment 1949871

View attachment 1949891

Huna uwezo wa kutumia rasilimali za nchi yako kwa ajili ya maendeleo ya watu wako hata kama utapata nafasi ya kuhutubia malaika haisaidii
 
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
Unajua kabisa huu ni upotoshaji mkubwa..kuna mwenzio ameleta uzi kama huu muda si mrefu tumempa facts amekimbia...japo napongeza kama kweli kuna uwekezaji huu mkubwa waja lakini sio matokeo ya hiyo documentary ya Royal tour! waziri kadanganya tu kwa sababu zake...
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Wakati huo huo... ziara ya kwenda Kazuramimba kuangalia hali ya miundombinu ya barabara au hapo Mwamanimba kuona jinsi wakulima wa wanavyodhulumiwa mazao yao na bodi ya pamba imeshindikana! Mawaziri kazi yao kupiga porojo tu wanajua boss wao hawezi kufika site! Baraza la usalama UN litainua uchumi wa nchi na kuongeza ajira kwa vijana? Yaani kuna mambo yanatia hasira sana!View attachment 1942645View attachment 1942647
Nyie chadema ndio mlituchelewesha sana
 
Back
Top Bottom