#COVID19 Rais ulifanya makosa makubwa kuifanya chanjo kuwa hiari, ulipaswa kukubaliana na Mbowe kuwa chanjo lazima ili tuweze kupambana na Gwajima

Mfano tukiambiwa uzazi wa mpango ni lazima kila mwanaume wa miaka 40 kwenda juu afanyiwe "vasectomy" ili asiwe na mbegu zinazoweza kutunga mimba ili watu wasizaliane hovyo itakuwa sawa ?

Masuala ya afya siku zote ni hiari ! Ukileta mlango wa kulazimishana ndio unatengeneza udikteta Acha Gwajima na wafuasi wake tuparuane nao humu humu kwa hoja🤣
 
Mfano tukiambiwa uzazi wa mpango ni lazima kila mwanaume wa miaka 40 kwenda juu afanyiwe "vasectomy" ili asiwe na mbegu zinazoweza kutunga mimba ili watu wasizaliane hovyo itakuwa sawa ?

Masuala ya afya siku zote ni hiari ! Ukileta mlango wa kulazimishana ndio unatengeneza udikteta Acha Gwajima na wafuasi wake tuparuane nao humu humu kwa hoja🤣
I SECOND YOU......
 
SASA KWANINI TUNAPAMBANA NA NGWAJIMA WAKATI TUNAJUA KABISA CHANJO NI HIARI DUNIANI KOTE.........
Hatupambani na Gwajima kuipinga chanjo......

Tunapambana na GWAJIMA kwa kuhamasisha watu WASICHANJWE bila ya kuwa na "rejea" za kisayansi na kutumia "conspiracy theories" KUUAMINISHA UMMA kuwa VIONGOZI WA NCHI wamehongwa na "mabeberu"ili CHANJO iingizwe hapa nchini....

Kwa hiyo Gwajima ana ushahidi kuwa viongozi wa nchi wamehongwa PESA NA MABEBERU?!!

😲😲😲These are serious ALLEGATIONS......
 
Wasalaam wana jamvi....
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.....

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima...
Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari
Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa...

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe....

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Wa ajabu Sana wewe, yaani ulazimishe wananchi kuchanjwa halafu Serikali hiyo inasema haitahusika na madhara utakayopata.

Kama ikiwa lazima kuchanjwa ile consent form I we kuwa,mtu akipata madhara serikali itafidia.
 
Lijinga lingine hil hapa...we usilete habar za akina kingwangala wale waliokosa misimamo,kila siku anabadirika kulingana na upepo, na ndyo ninyi pia mtabadirika pale madhara yakianza kujitokeza muanze kubishia hata haya mnayoyaandika leo hii.....
 
Tanngu huyo bwana yako aanze kukudunga chanjo unabadiliko gani zaidi ya kujaza kalio?
 
Wasalaam wana jamvi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Mnataka kumdanganya Rais ninyi ili mmpoteze kabisa.
 
Wasalaam wana jamvi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Ukichanjwa on your own risk. In case of any negative results.
 
Wasalaam wana jamvi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Yaani nyie wafuasi wa Mbowe kila kitu akisema Mbowe mnataka watu wote wafuate daaah mlivyoshikiwa akili na mbowe mnadhani wote wapo hivyo chanjo ni hiari dunia nzima.
 
Wasalaam wana jamvi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Madhara ya chanjo ni nani atayabeba? Umelifikiria hilo?
 
Wasalaam wana jamvi.

Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.

Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...

Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.

Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.

Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
We nenda kachanje na familia yako,jilani yako asipoenda usiumie kausha mkuu.kila mmoja atapata majibu na maamuzi yake.
 
Back
Top Bottom