Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Kenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.
Tukubari tumetia aibu. Hakukuwa na uchaguzi
 
Mwambie huyo kidampa wa wazungu wakenya wangapi wamekimbia nchi na kwenda ughaibuni? Pili mwuulize nchi yake ina madeni kiasi gani? Tatu mwuulize kwa nini kwenye nchi yake kuna taasis nyingi za kikoloni ambazo zinawafanya wakenya walemae? Na yeye kama rais akiwa mstari wa mbele kuwa mnafiki? Nne na mwisho mwuulize hizo siasa zao za BBI zinamsaidia nani au tuseme ziko kwa manufaa ya nani?

Hii miaka mitano aliyo pewa Magufuli itatutosha kuwaonyesha wakenya nana ana mfumo mzuri wa kisiasa ambao unawanufaisha wananchi wake. Tanzania itakuwa Paradize. Uwezo wa kufikia huko tunao na nia ya kufikia huko tunayo pia. Wakenya na mabeberu wao watuache sisi wenyewe tufanye mambo yetu tunavyo taka. Hatutaki kuambiwa na mtu mwingine nini cha kufanya. Sisi ni wanaume ambao wengi wetu ni rijali na tumetairiwa. Hatubabaishwi na ukoloni mambo leo.
Asante saaaaaaana
 
Katika kile unachoweza kutafsiri kama ni Kenya kuguswa na siasa mpya za Tanzania, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesistiza ustahimilivu wa kisiasa hasa kwa nchi zilizoizunguka. Amesema uchaguzi unafaa kuleta utangamano wa nchi na siyo kinyume chake.

Amedai kuwa siyo siri nchi zinazoizunguka Kenya hazina utulivu mzuri wa kisiasa kama ilivyozoeleka. Amedai kuwa kukosekana kwa utulivu kwa jirani ni hatari kwa Kenya.

Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta, amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.

=======

Katika hotuba yake Bungeni, Rais Kenyatta amesema:

Nchi nyingi jirani zetu leo zinahitaji kupeana mikono. Wanahitaji siasa ambazo ushindani haugeuki uadui na vita. Wanahitaji viongozi wa kisiasa waliolenga kujumuisha vijana na waliokata tamaa, bila kuwachochea kuasi dhidi ya nchi zao na wazee wao.

Tumejifunza kama Wakenya kwamba uchaguzi pekee hauwezi kuleta amani na umoja kwa watu waliogawanyika. Kwa hilo, viongozi lazima wafikiane na kuwa madaraja ya kuwavusha watu keuelekea kwenye usalama na ustawi.

------------

Many neighboring countries today need a handshake. They need politics in which competition is not turned into enmity and war. They need political leaders focused on including the young and desperate, not inciting them to revolt against their countries and their elders.

We have learned as Kenyans that elections alone cannot bring peace and unity to a divided people. For that, leaders must reach out to each other and build bridges over turbulent waters to allow the people to cross into safety and prosperity.


Ushoga umetapakaa Afrika mashariki tangu zamani. Huyu bwana ana lake na TZ kuna kundi la wabunge majeruhi kutoka chama fulani wanataka ukimbizi awachukue wanadai wanapigiwa simu za vitisho pengine ni watoto ndio wanaopiga simu
 
Kenya kiukweli wako mbali sana ktk demokrasia na kiuchumi. It is an engine of east africa economy. Uhuru Kenyata hakumungunya maneno amemrushia dogo jiwe kuwa upinzani sio uadui wala vita. Sas hivi nchi imegawanyika. Alitukuta wamoja chini ya JK leo anataka atuwache tumepalanyika kwa siasa za visasi. Eti niombee. Tangu lini shetani akaombewa na Malaika!!
 
Acha ujinga mkuu! Kenyata juzi kamtimua makamu wake kisa madaraka ya 2022 hivi unajua hilo?

Kwanza unajua kama 2007 watu 1500 walikufa sababu ya kenyata na odinga?.

Kenya pale ni ukabila tupu, full uhasama, hawana choxhote cha kutwambia.

Mbowe na chadema wanashindwa kihalali kwenye box la kura katika uchaguzi wa kidemocrasi, sasa unataka nae aitwe waridhiane nini?
Kenyatta kaonesha jinsi alivyo mwepesi kujirudi na kuzungumza na mahasimu wake kisiasa kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake, hapa kwetu hilo halifanyiki, ni kiburi tu cha ushamba wa madaraka.
 
Katika kile unachoweza kutafsiri kama ni Kenya kuguswa na siasa mpya za Tanzania, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesistiza ustahimilivu wa kisiasa hasa kwa nchi zilizoizunguka. Amesema uchaguzi unafaa kuleta utangamano wa nchi na siyo kinyume chake.

Amedai kuwa siyo siri nchi zinazoizunguka Kenya hazina utulivu mzuri wa kisiasa kama ilivyozoeleka. Amedai kuwa kukosekana kwa utulivu kwa jirani ni hatari kwa Kenya.

Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta, amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.

=======

Katika hotuba yake Bungeni, Rais Kenyatta amesema:

Nchi nyingi jirani zetu leo zinahitaji kupeana mikono. Wanahitaji siasa ambazo ushindani haugeuki uadui na vita. Wanahitaji viongozi wa kisiasa waliolenga kujumuisha vijana na waliokata tamaa, bila kuwachochea kuasi dhidi ya nchi zao na wazee wao.

Tumejifunza kama Wakenya kwamba uchaguzi pekee hauwezi kuleta amani na umoja kwa watu waliogawanyika. Kwa hilo, viongozi lazima wafikiane na kuwa madaraja ya kuwavusha watu keuelekea kwenye usalama na ustawi.

------------

Many neighboring countries today need a handshake. They need politics in which competition is not turned into enmity and war. They need political leaders focused on including the young and desperate, not inciting them to revolt against their countries and their elders.

We have learned as Kenyans that elections alone cannot bring peace and unity to a divided people. For that, leaders must reach out to each other and build bridges over turbulent waters to allow the people to cross into safety and prosperity.


huu utopora man kamwambia kua bongo kuna vita🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Kusema kweli tukianza kuchambua mapungufu ya siasa za Kenya wengi hapa mtaishia kushangaa tu. Pamoja na mapungufu ya siasa za Tanzania, bado huwezi kulinganisha na ya Kenya.

Ni watoto wadogo tu ndio hawajui ubabe, unyanyasaji na mauaji yaliyofanyika na yanayofanyika kwa wanasiasa wa Kenya kwa miongo mingi sasa. Nani hajui kilichowakuta Thom Mboya, Robert Auko, Mutula Kilonzo, Pro. George Saitoti na wengine wengi? Au mmesahau kilichomtokea mkuu wa kitengo cha IT cha Tume ya Uchaguzi ya Kenya miaka michache tu iliyopita? Mnataka tuweke hapa orodha ya Wakenya walioko uhamisoni kwa sababu za kisiasa? Kuna mtoto hapa hajui yaliyotokea Kenya baada ya uchaguzi Mkuu mwaka 2017?

Kusema kweli kuilinganisha Kenya na Tanzania kisiasa ni sawa na kulinganisha usiku na mchana. Kwa Afrika Mashariki bado hakuna nchi inaifikia Tanzania kwa siasa za kistaarabu na zinazoheshimu haji za binadamu. Hiyo sio kusema sisi hatuna changamoto. Zipo lakini ni chache na za kawaida kulinganisha na wengine.
 
Kenyatta kaonesha jinsi alivyo mwepesi kujirudi na kuzungumza na mahasimu wake kisiasa kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake, hapa kwetu hilo halifanyiki, ni kiburi tu cha ushamba wa madaraka.
Hujui chochote kule Kenya bora ukae kimya uendelee kumfuatilia tu Amsterdam
 
Lakini kenyata hakutengeneza kura feki na kuonekana wazi wazi?.
Au na yeye alipiga wapinzani wake risasi na kuwapoteza?
Ndio maana tunawaita watoto wadogo!

Ungefuatilia siasa za Kenya hata kwa wiki tu ungemshangaa sana Kenyata anapata wapi kibali cha kuwasema nchi za wenzie
 
Kenya kiukweli wako mbali sana ktk demokrasia na kiuchumi. It is an engine of east africa economy. Uhuru Kenyata hakumungunya maneno amemrushia dogo jiwe kuwa upinzani sio uadui wala vita. Sas hivi nchi imegawanyika. Alitukuta wamoja chini ya JK leo anataka atuwache tumepalanyika kwa siasa za visasi. Eti niombee. Tangu lini shetani akaombewa na Malaika!!
Ndio ujinga mmekuwa mkilishwa miaka yote. Nenda Kenya kaone hayo matunda ya uchumi na democrasia.
Wakenya wenyewe wakiona hiki ukichoandika hapa watakushangaa sana
 
Uhuru Kenyatta naye kageuka mwalimu wa siasa za vyama vingi eti siasa za vyama vingi sio uadui ICC alipelekwa kwa sababu gani? Vita zile walitwangana na kuuuana kule Kenya Baada ya uchaguzi na akina Raila Odinga zilikuwa za Nini adi Kikwete akaitwa kwenda kuwasuluhisha

Ama kweli nyani haoni kundule
 
Back
Top Bottom