kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,030
- 450
Tukubari tumetia aibu. Hakukuwa na uchaguziKenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.