Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Katiba ipi hiyo unaizungumzia,Samia ana sifa zote za kugombea,by the way CCM huwa Wana utamaduni ambao wanamwachia raisi aliyeko madarakani awe mgombea tena.kwa hiyo Kuna uwezekano mkubwa 2025 tukaendelea na raisi wetu mwanamke ,MUNGU akitupa uhai .
Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
 
Jiwe na ukatili wake na ubabe wake Ila jasho lilimtoka 2020.

Huyu bibi Hangaya Hadi kufika hiyo 2025 atakuwa kishasusa
Wewe ndio unaomba asuse, hasusi ng'o. Bora uanze kujiandaa kisaikolojia kwasababu mama atachukua mitano tena!
 
kwa darubini ya ndani ukiangalia kwa umakini ,mama hana nia ya kusimama kugombea urais 2025,ila atahakikisha ataweka mazingira rafiki ya mwanamke kusimama .Ukiangalia hata waziri wa ulinzi aliye mteua hivi majuzi huyu mama Tax ni madhingra ya kuandaa wakina mama majembe yatayo kuja kusimama 2025 kuomba ridhaa wa wananchi mnukuu kauli yake "tusipo fanya kipindi hichi ambacho tuna nafasi haitakuja kutokea mwanamke kusimama" that's her wish.
 
Rais anajikanganya. Anaongea kitu ambacho ni patently untrue,anaposema wanawake walipigania ili mwanamke awe makamu wa rais.
Anajipinga maneno yake mwenyewe aliposema uamuzi ulikuwa wa Magufuli bila yeye kufanya jitihada yoyote,zaidi tu ya kusubiri na macho ya kulegea.
Hii msg nataka kicraft vizuri,lakini all of a sudden hii simu yangu inanisumbua. Labda ndio baraka zake yule mdada.
Lakini, honestly,mi namuhofia huyu rais usalama wake,nikifikiria Nebukadneza aliondoka ghafla,sasa huyu itakuwaje.
Kinachotokea hapa,nimebaini,ni mambo kuonekana yanakwenda absolutely normal,kumbe all the while serikali inakwenda kwenye cul de sac,,halafu ghafla rais anatoweka
 
Mungu asaidie mama apite inshaalah. Wacopenda wavimbe adi wapasuke.
Mnakosea kushabikia hii kitu. Na inaonesha mnafurahia kifo cha DKT JPM. Sawa, subirini 2025 kauli zenu zinawagharimu.
Kumuombea mama kwa Mungu apite 2025 ndio kushabikia na kufurahia kifo cha mwamba magufuli!!!!

Sinaga upumbafu wa kufurahia kifo cha mtu mzehe.
Muwe makini na kusherehekea kwenu. Kumbukeni mwaka haujaisha.
 
Mhhh. Lissu hakuwa na ubavu wa kumshinda JPM. Hata akigombea 2025 atapigwa tu. Huyo hakuna kitu.
 
Mhhh. Lissu hakuwa na ubavu wa kumshinda JPM. Hata akigombea 2025 atapigwa tu. Huyo hakuna kitu.
Kwa,nini mikitano yake ilikuwa inavamiwa na polisi na wakati mwingine mawasiliano yanakatwa baada ya kuona nyomi ya watu. Amefanyiwa kila figisu lakini bado watu wanajaa bila hatamatangazo tofauti na jpm ambapo vyombo vyote vilitangaza popote alipo. Hata ushindi wake unafikiri ilikuwa rahisi kuutangaza!!
 
Mhhh. Lissu hakuwa na ubavu wa kumshinda JPM. Hata akigombea 2025 atapigwa tu. Huyo hakuna kitu.
Hata Magu mwenyewe aliliona mapema kwamba hatobowi asingefanya alie fanya asinge kua Raisi tena, wa tzania anataka mabadiliko ya kisiasa ole wake huyu Mtemi hangayi akijisahau kufanya yake hata tomboa, haijalishi ni Lissu au Mbowe, wataznia walishaelimika kwa sasa
 
 
Miezi michache ilopita wakati akiapisha mawaziri alisema wasiwaze kuhusu uchaguzi ujao wachape kazi but yeye amekuwa wa kwanza kuuwaza,tena kwa kishindo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…