CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,985
- 4,084
Mbunge wa Rufiji ambaye pia ni Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika jimbo lake hakitapotea kijiji hata kimoja kwenda Upinzani katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa hapo mwakani 2024.
Vilevile Mhe Mohammed Mchengerwa amemuahidi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ushindi wa kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 kwani kura zote za Rufiji zitakwenda kwake.
Rufiji imeamua, Tanzania imeamua,
#Mama hakamatiki,
#Tukutane OCt 2024/5.