saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,429
- 6,444
we kima unapumbazwa na nani, unatumiwa we mshenziBas punguza ujuaji mtoto mdogo sana wewe tengeneza future yako achana na kupumbazwa na waganga njaa
we kima unapumbazwa na nani, unatumiwa we mshenziBas punguza ujuaji mtoto mdogo sana wewe tengeneza future yako achana na kupumbazwa na waganga njaa
Mzee mimi sishikwi sikio na wajinga kma ulivyo shikwa wewe kukuwe kima unapumbazwa na nani, unatumiwa we mshenzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.
Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.
Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.
View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785
Uzalendo huwa unaanza na kiongozi Namba 1 aliyopo madarakani sio blabla unakuwa mzalendo halafu ukikaa hivi unasikia mawzari amekwapua Bilion mmoja halafu yupo madarakani na raisi afanyi chochoteRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.
Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.
Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.
View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785
Nasisimka kwa raha na uzalendo!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.
Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.
Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.
View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785
Kweli wataje walikuwa Operesheni ipi ya JKT? Mimi nilikuwa Operesheni Vitendo 1970/71. "Uzalendo" wakati huo halikuwa neno la uzushi!!Hivi hawa viongozi wetu walipita jeshini? Wabunge nao je? Vipi uzalendo wao?
Peleka ujinga wako hukoNasisimka kwa raha na uzalendo!!
Katiba ikataze vyeo vya kisiasa kutumia uniform (nembo) za majeshi yetu.Huyu naye vipi? Ndo anataka kututisha na hayo magwanda yake ya kijeshi au?
Kwanza wala hayampendezi!
Pili, huyo hata kukimbia au kupiga pushapu sidhani kama anaweza 🤣.
Kajivalia tu hiyo migwanda lakini hakuna awezalo.
FOH.
View attachment 2683689