Rais Samia: Vijana waliopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni

Mm n familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu.
Asante
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.

Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.

Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.

View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.

View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785

Nasisitiza uzalendo unaanzia kwa viongoz wa Nchi kama mfano!!
 
Viongozi wote wa nchi hii wanajiita wazalendo lakini kila mwaka kuna ripoti za kuibwa mabilioni ya shilingi sasa sijui kuna vibwengo vinatoka sayari ya jupiter vinakuja kuiba na kusaini mikataba mibovu Bongo!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.

Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.

Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.

View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.

View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785
Uzalendo huwa unaanza na kiongozi Namba 1 aliyopo madarakani sio blabla unakuwa mzalendo halafu ukikaa hivi unasikia mawzari amekwapua Bilion mmoja halafu yupo madarakani na raisi afanyi chochote
 
hivi machawa ndo wana anzaga namna hii, au huyu anajichetue kutafuta umaarufu hapa JF??

Kuna convoo hapo juu, nacheka km mwehuu, lol
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho va Miaka 60 ya JKT katika Uwanja wa Jamhuri - Dodoma leo terehe 10 Julai, 2023.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema vijana wanaopita JKT wanapaswa kubeba uzalendo wa Nchi moyoni na sio mdomoni mwao na kuwa tayari kulinda, kupigania na kutetea nchi.

Ameipongeza JKT kwa kuendesha mafunzo mazuri ya utimamu kwa vijana, kuendeleza ujuzi wao pamoja na kutengeneza ajira, kupunguza kiwango cha umaskini pamoja na utegemezi.

Lengo la Serikali ni kuongeza uwezo wa JKT iweze kutekeleza majukumu yake vizuri hasa kwenye nyakati hizi ambazo mwamko wa vijana kujiunga na jeshi hilo umekuwa mkubwa.

View attachment 2683776
Gwaride la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) likipita kwa mwendo wa pole na haraka mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.

View attachment 2683778
View attachment 2683779
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajab Mabele wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
View attachment 2683785

Yeye amebeba nini
 
Back
Top Bottom