Nyanje
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,894
- 2,377
sasa si anajidanganya mwenyewe sisi hatukupiga kuraRais Samia amesema kuwa utaratibu wa kuongeza vituo vingi vya kupigia kura ulisaidia sana kupunguza msongamano katika vitu hivyo, hivyo upigaji kura kurahishwa sana na haukuchukua muda mwingi wa wananchi kama ilivyozoeleka, jambo lililowafanya baadhi ya waangalizi wa uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura.
Pia soma > GE2025 - Hiki ndio kilifanywa na wasimamizi wa uchaguzi ili kupata 98% ya kura za Samia
VIDEO: Urahisishaji upigaji kura wenyewe sasa ulivyofanyika