PostGE2025 Rais Samia: Upigaji kura ulirahisishwa sana! Iliwafanya Waangalizi wa Uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura

PostGE2025 Rais Samia: Upigaji kura ulirahisishwa sana! Iliwafanya Waangalizi wa Uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Madhara ya kuongozwa na form four failure asiye na chembe ya akili wala utashi, ukiona kimevaa ushungi unaweza dhani kuna mtu hapa, ila akianza kubwabwaja unaweza ona aibu for her lack of common sense and basic intelligence
 
Rais Samia amesema kuwa utaratibu wa kuongeza vituo vingi vya kupigia kura ulisaidia sana kupunguza msongamano katika vitu hivyo, hivyo upigaji kura kurahishwa sana na haukuchukua muda mwingi wa wananchi kama ilivyozoeleka, jambo lililowafanya baadhi ya waangalizi wa uchaguzi kudhani wananchi hawakujitokeza kupiga kura.

Pia soma > GE2025 - Hiki ndio kilifanywa na wasimamizi wa uchaguzi ili kupata 98% ya kura za Samia

Waangalizi wame differ, unafiki ni currency ya hii nchi
 
Ukweli mtupu
20251029_141456.jpg
 
 
Back
Top Bottom