Rais Samia umakini unahitajika kufuatilia utendaji wa Serikali yako na Taasisi zake, ujue wewe ni daktari sasa. Ona hili la HESLB

Nikimkuta pepon. Afsa wa bodi ya mikopo bas nageuza
Kwa kweli wanakera. Hivi sheria ya kusubiri siku 90 na kuomba kielectronik ilipitishwa na bunge enzi za Ndugai au ni wao wenyewe waliamua tu. Prof. Mkenda na. Rais Samia wanajua kinachoendelea na wanajua wanaosubiri kurudishiwa pesa hizi ni wanufaika wangapi na ni kiasi gani. Na wameshalipa kiasi gani kwa watu wangapi? Hakuna Mbunge wa kutuulizia swahi hili. Kweli nimewamiss wabunge makini wa Chadema.
 
Kwanza niseme mimi siyo wa kwanza kuwalalamikia hawa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB). Ukiingia ATM uka-command kutoa pesa, ukapewa risti na pesa isitoke. Ukiingia ndani au ukapiga simu pesa yako inarudishwa muda huo huo.

Lakini hawa HESLB wanakata wanufaika wa mikopo Elimu ya juu kwa miaka kadhaa. Mara nyingi marejesho yakikamilika wanatabia ya kuendelea kukata mwezi mmoja, miwli, mitatu hadi minne kutegemea na mkatwaji atakavyo wahi kufuatilia kwenda kulalamika HESLB.

Ukirnda kulalamika wanakupa fomu ya kujaza Ili kusitisha makato na barua ya kumpelekea mwajiri asitishe na kukueleza kiasi unachotakiwa kurejeshewa baada ya kukata zaidi ya kiasi wanachokudai.

Badala ya kukuandikia hundi upewe pesa yako papo hapo, wanakwambia uende ukajaze taarifa zako kwenye mfumo wa ki electronic ( loan refund) na unatakiwa usubiri siku 90.

Zikiisha ukiwafuata utaambiwa endelea kusubiri, ukimaliza miezi kadhaa tena ukienda wanakwambia uendelee kusubiri huku ukipitia kuona Akaunti yako ya loan refund.

Dr. Samia kama unasoma hili embu tueleze tatizo ni nini wakati pesa wanazo kwani Kila mwezi wanakata wanufaika.

Tuondolee huu utaratibu na ikikupendeza zaidi ondoa yule mtendaji Mkuu wa HESLB au Prof. Mkenda kabisa. Hatutachoka kuwalalamikia hawa jamaa mpaka tutakapolipwa pesa yetu na kubadilisha huu utaratibu wa kuingia kwenye mfumo wa ku-claim badala ya kuandikiwa hundi.
Hii kali. Jamaa yangu alikatwa hivyohivyo akaomba refund online, kaweka attachments, ndani ya siku 40 kawa karudishiwa kwenye akaunti yake aliyoambatisha wakati anaomba refund online.

Ila twende mbele turudi nyumba ... unataka turudi kwenye kuandikiana hundi leo? Dah hii sio kabisa. Dunia imebadilika sana, nadhani hoja iwe kuboresha kulipwa mpunga maisha yaendelee. Hii ya hundi/cheque sio kabisa

Kingine, tutakua tunamuonea Mama kwa kumtwisha kila kitu hata refund ....kuna mambo makubwa, hizi za refund ya hela ya weekend hapana. Tukomae nao HESLB hadi kieleweke ...
 
Wala huyo PM hapambani na chochote, ni maigizo na fenti fodi tu.
Majizi na maomba rushwa yamejaa serikali za mitaa. Siyo ma DEDs, maafisa hata masijala wote wala rushwa tu. PM anapambana nayo lakini hatayamaliza. Genge la akina Liz na Feb mwisho watamwondoa. Hivi Ask. Gwajima ameshindwa kumfufua kabisa dikteta akarudi tena kuyashughulikia majizi haya. Au na Gwajima kashaungana nayo majizi kwa kupatiwa u- NEC.
 
Back
Top Bottom