Uimara wa vyama hivyo utatoka wapi ikiwa hata kufanya mikutano kunadi sera wanazuiwa? Ikiwa mwananchi kujiunga na upinzani hayupo huru? Kama kugombea uongozi eg ngazi ya Mtaa, udiwani, au ubunge kupitia upinzani unaenguliwa?Kama kungekuwa na vyama imara vya upinzani hili lilikuwa tundu la kutokea.