MINARA 758 YACHOCHEA ONGEZEKO LA LAINI ZA MIAMALA YA SIMU

MINARA 758 YACHOCHEA ONGEZEKO LA LAINI ZA MIAMALA YA SIMU

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
566
Reaction score
533
Minara 758 iliyojengwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita imeongeza upatikanaji wa mawasiliano kwa wananchi milioni 8.5 katika vijiji 1,400, hatua iliyochangia kuongezeka kwa laini zinazotoa huduma za miamala ya simu kutoka milioni 80.98 Machi hadi milioni 87.05 Juni 2026.
IMG-20260827-WA0030.jpg
 
Back
Top Bottom