Rais Samia: Tuache alama ili nchi yetu ipate maendeleo ya haraka

Sikumfahamu kwa ndani marehemu Mfugale lakini kwa yale aliyoyafanya, hakika ameacha alama katika maisha yake ya hapa Duniani. Hakuna shaka juu ya uchapakazi wake, hakuna shaka juu ya uzalendo wake, na mapenzi yake kwa Taifa. Hakuna shaka juu ya uwezo wake mkubwa wa utaalam wake. Amevitumia vema vipaji alivyopewa na Mungu.

Mungu wetu tunakushukuru kwaajili ya maisha na utumishi wake ndugu yetu Mfugale. Kwa kuwa umemwita kwako kwa wakati ulioona unafaa, japo ni kwa majonzi, tunalazimika kuyapokea mapenzi yako.

Tunakuomba muumba wetu, iipe faraja familia ya huyu ndugu yetu. Kwaajili ya mema mengi aliyoyafanya mzazi na mwanafamilia wao kwao kama familia na Taifa, itoshe kukushukuru wewe uliyemfanya akawa kama alivyokuwa.

Kwa mapenzi na huruma yako, tunakuomba yale mema aliyoyafanya kwaajili ya watu wako, yakatoshe kuwa sadaka ya yale ambayo hakuyatenda vema.

Kwetu tuliobakia, matendo mema ya huyu ndugu yetu yakawe shule, injili na mafunzo kwa maisha yetu.

Kuambiwa sababu ya kifo chake hakuwezi kubadilisha chochote kwa marehemu, lakini ni jambo ambalo linaondoa gossiping. Kifo na ugonjwa, siyo kosa la yeyote, na hakuna mwenye uwezo wa moja kwa moja katika kuvizuia. Sijui kwa nini siku hizi baadhi ya watu, na hasa viongozi, sababu za vifo vyao hazielezwi.
 
Kuna wachache wetu wanakosa kuwa na uvumilivu.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameomba tumpe muda aweke sawa uchumi wa nchi. Huenda kuna mambo ambayo hajakaa sawa anatamani kuona yakisimama vema na nchi kuwa na ustawi.
Wapinzani wanasema hawataki wakati ni suala linalowezekana na linajadilika.

Pana mambo mawili tofauti:

1. Katiba mpya
2. Mikutano ya kisiasa

#2 ni haki ya vyama haihitaji ruksa ya mtu. Kuyachanganya mawili haya kumeongeza hali kutokuaminiana.

Kumbuka hata lile la kuonana na vyama vya siasa halina majibu Mama ataonana nao lini.

Uzi huu hapa chini uliandikwa Jun 22mapema kabisa kabla ya mkutano wake na wanahabari:

--------
My take:

Pana watu karibu na mama wanaofanya jitihada sana kumfarakanisha Mama na yeyote kwa lolote hata kama la kijinga. Pana wanaokaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.

Angalia pia uzi huu:


Jipe muda kupitia kuiona hali halisi.
 
Pana mambo mawili tofauti:

1. Katiba mpya
2. Mikutano ya kisiasa

#2 ni haki ya vyama haihitaji ruksa ya mtu. Kuyachanganya mawili haya kumeongeza hali kutokuaminiana.

Kumbuka hata lile la kuonana na vyama vya siasa halina majibu Mama ataonana nao lini.

Uzi huu hapa chini uliandikwa Jun 22mapema kabisa kabla ya mkutano wake na wanahabari:

--------
My take:

Pana watu karibu na mama wanaofanya jitihada sana kumfarakanisha Mama na yeyote kwa lolote hata kama la kijinga. Pana wanaokaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.

Angalia pia uzi huu:


Jipe muda kupitia kuiona hali halisi.
Rais aliahidi kukutana na viongozi wa kisiasa. Huko huenda wakazungumza mengi na kuja na mrejesho wenye kutosheleza akili na ufahamu.
 
Rais aliahidi kukutana na viongozi wa kisiasa. Huko huenda wakazungumza mengi na kuja na mrejesho wenye kutosheleza akili na ufahamu.

Kama nilivyoandika awali haipo nia njema tokea kwa washauri wa karibu wa rais.

Haipo nia ya kuwakutanisha rais na angalau Chadema. Nia iliyopo ni kuchochea mfarakano zaidi.

Pangekuwapo na nia njema rais asinge changanya suala la mikutano ya kisiasa na mambo ya katiba.

Uwezekano ni kuwa Mama ana mashinikizo ya ndani yasiyo na nia njema.
 
Kama nilivyoandika awali haipo nia njema tokea kwa washauri wa karibu wa rais.

Haipo nia ya kuwakutanisha rais na angalau Chadema. Nia iliyopo ni kuchochea mfarakano zaidi.

Pangekuwapo na nia njema rais asinge changanya suala la mikutano ya kisiasa na mambo ya katiba.

Uwezekano ni kuwa Mama ana mashinikizo ya ndani yasiyo na nia njema.
Ni mapema mno.
 
Ni mapema mno.

Dalili ya mvua ni mawingu. Ninakazia: msingi wa ngoma uko hapa:

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai 2021 amewaongoza viongozi wa Serikali na, taasisi na waombolezaji katika shughuli ya kuaga na kutoa heshima za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick A.L. Mfugale katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam. Mhandisi Mfugale alifariki dunia Juni 29, 2021 katika hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma.

Akitoa salamu za rambirambi Ndg. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imempoteza (Mhandisi Mfugale) mtumishi na kiongozi muadilifu, makini, shupavu na mchapakazi hodari. Taifa letu limempoteza mhandisi mahiri na mzalendo wa kweli ambaye daima alikuwa tayari kuitumikia nchi yake kwa moyo wake wote." Sambamba na hilo amesisitiza kuwa Mhandisi Mfugale ameacha alama kubwa kwa nchi yetu. Ametoa mchango mkubwa sana hususan katika sekta ya miundombinu; alikuwa ni baba wa madaraja, barabara, viwanja vya ndege na miradi ambayo haikuwa chini ya sekta yake. Pia amesema Mfugale alikuwa mjumbe wa timu za wataalamu wa Serikali kwenye miradi ya kimkakati kwenye bwawa na reli; hadi umauti unamkuta alikuwa tayari ameshakamilisha michoro ya barabara ya mzunguko na njia nne kule Dodoma pamoja na uwanja wa ndege wa Msalato; taifa limepoteza mtu muhimu sana.

Rais ameeleza kuwa Marehemu Mfugale alimueleza na kumpa matumaini yake jinsi ya kulijenga na kulikamilisha daraja la Busisi/JPM lakini kwa bahati mbaya tunachopanga wanadamu Mungu hapangi hichohicho, amemchukua kabla ya matumaini yake kutimia. Ndg. Samia amesema anaungana na familia, watanzania na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na masikitiko makubwa na anamuomba Mwenyezi Mungu awajalie moyo wa faraja na uvumilivu.

Ng. Samia Suluhu Hassan amesema funzo tunalolipata kutokana na maisha ya Mhandisi Mfugale hapa duniani ni kuacha alama. Amesema "ukibahatika kupata umri hapa duniani ni lazima uache alama. Kila mmoja wetu anapaswa kutumia fursa au kipawa alichopewa na Mwenyezi Mungu kuacha alama." Mwisho akasisitiza kuwa anaamini endapo kila mtu ataishi maisha ya kuacha alama; nchi yetu itapata maendeleo kwa haraka.

Mhandisi Mfugale amekuwa mtumishi wa umma kwa takribani miaka 45, tangu mwaka 1977 ambapo ameongoza TANROADS kwa takribani miaka 12 tangu mwaka 2009. Atakumbukwa kwa kubuni na kusimamia ujenzi wa Daraja la Umoja (Mtambaswala) linalounganisha Tanzania na Msumbiji, Daraja la Nyerere (Kigamboni), Daraja la Mkapa katika Mto Rufiji, Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi, Daraja la Magufuli katika Mto Kilombero, Daraja la Mfugale (TAZARA), Daraja la Kijazi (Ubungo), Daraja la Tanzanite (Selander), Daraja la Kigongo – Busisi (JPM) pamoja na Miradi mingine ya kimkakati.

Tuishi kwa kupendana kwa sababu duniani tunapita.
#RIPMfugale
#DaimaTutakukumbuka

View attachment 1837844

View attachment 1837831View attachment 1837832
Mh h
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai 2021 amewaongoza viongozi wa Serikali na, taasisi na waombolezaji katika shughuli ya kuaga na kutoa heshima za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick A.L. Mfugale katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam. Mhandisi Mfugale alifariki dunia Juni 29, 2021 katika hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma.

Akitoa salamu za rambirambi Ndg. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imempoteza (Mhandisi Mfugale) mtumishi na kiongozi muadilifu, makini, shupavu na mchapakazi hodari. Taifa letu limempoteza mhandisi mahiri na mzalendo wa kweli ambaye daima alikuwa tayari kuitumikia nchi yake kwa moyo wake wote." Sambamba na hilo amesisitiza kuwa Mhandisi Mfugale ameacha alama kubwa kwa nchi yetu. Ametoa mchango mkubwa sana hususan katika sekta ya miundombinu; alikuwa ni baba wa madaraja, barabara, viwanja vya ndege na miradi ambayo haikuwa chini ya sekta yake. Pia amesema Mfugale alikuwa mjumbe wa timu za wataalamu wa Serikali kwenye miradi ya kimkakati kwenye bwawa na reli; hadi umauti unamkuta alikuwa tayari ameshakamilisha michoro ya barabara ya mzunguko na njia nne kule Dodoma pamoja na uwanja wa ndege wa Msalato; taifa limepoteza mtu muhimu sana.

Rais ameeleza kuwa Marehemu Mfugale alimueleza na kumpa matumaini yake jinsi ya kulijenga na kulikamilisha daraja la Busisi/JPM lakini kwa bahati mbaya tunachopanga wanadamu Mungu hapangi hichohicho, amemchukua kabla ya matumaini yake kutimia. Ndg. Samia amesema anaungana na familia, watanzania na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na masikitiko makubwa na anamuomba Mwenyezi Mungu awajalie moyo wa faraja na uvumilivu.

Ng. Samia Suluhu Hassan amesema funzo tunalolipata kutokana na maisha ya Mhandisi Mfugale hapa duniani ni kuacha alama. Amesema "ukibahatika kupata umri hapa duniani ni lazima uache alama. Kila mmoja wetu anapaswa kutumia fursa au kipawa alichopewa na Mwenyezi Mungu kuacha alama." Mwisho akasisitiza kuwa anaamini endapo kila mtu ataishi maisha ya kuacha alama; nchi yetu itapata maendeleo kwa haraka.

Mhandisi Mfugale amekuwa mtumishi wa umma kwa takribani miaka 45, tangu mwaka 1977 ambapo ameongoza TANROADS kwa takribani miaka 12 tangu mwaka 2009. Atakumbukwa kwa kubuni na kusimamia ujenzi wa Daraja la Umoja (Mtambaswala) linalounganisha Tanzania na Msumbiji, Daraja la Nyerere (Kigamboni), Daraja la Mkapa katika Mto Rufiji, Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi, Daraja la Magufuli katika Mto Kilombero, Daraja la Mfugale (TAZARA), Daraja la Kijazi (Ubungo), Daraja la Tanzanite (Selander), Daraja la Kigongo – Busisi (JPM) pamoja na Miradi mingine ya kimkakati.

Tuishi kwa kupendana kwa sababu duniani tunapita.
#RIPMfugale
#DaimaTutakukumbuka

View attachment 1837844

View attachment 1837831View attachment 1837832
Mh Rais SSH nimemuelewa, kwamba amezungumza kuacha alama ya kiungonzi, thanks president


Sasa mungu anasema na wewe mh rais ,ACHA alama ya katiba mpya kadri inavyowezekana , jina lako likutakua ukurasa muhim asema bwana , achana na Ccm wengi wao wanafiki , Kama wanaona Chama ni muhim kuliko NCHI ,japo ndivyo walivyo ,tenda yako na Kama ccm watakuzingua pale ulipo fikia basi nenda Chama chochote Cha upinzani na chukua NCHI wahuni hao rais ,tenda uonavyo na imani ya Mungu ikiwa juu yako basi
 
Mh h

Mh Rais SSH nimemuelewa, kwamba amezungumza kuacha alama ya kiungonzi, thanks president


Sasa mungu anasema na wewe mh rais ,ACHA alama ya katiba mpya kadri inavyowezekana , jina lako likutakua ukurasa muhim asema bwana , achana na Ccm wengi wao wanafiki , Kama wanaona Chama ni muhim kuliko NCHI ,japo ndivyo walivyo ,tenda yako na Kama ccm watakuzingua pale ulipo fikia basi nenda Chama chochote Cha upinzani na chukua NCHI wahuni hao rais ,tenda uonavyo na imani ya Mungu ikiwa juu yako basi
Amen, Rais amezungumza kutoka moyoni na kutukumbusha sisi sote kuwa tunatakiwa kuacha alama.
Naamini naye ataacha alama kama alivyosema, alituomba tumpe muda; mema yanakuja.
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Ninakazia: msingi wa ngoma uko hapa:

Kumbuka kulegalega sio kufa. Ni katika siasa mtu anaweza kufa na kufufuka.
 
Amen, Rais amezungumza kutoka moyoni na kutukumbusha sisi sote kuwa tunatakiwa kuacha alama.
Naamini naye ataacha alama kama alivyosema, alituomba tumpe muda; mema yanakuja.
Mda upi ,kuanzia KWA rasm ya Warioba bado Kuna mchakato namshauri uanze ili uweze kamilika mapema , why SSH rais kuanza jitafutia lawama na laana ilihali Jambo lawezekana ,mh SSH , angalia Sana wanaccm waliokuzunguka ni wanafiki ,wapo pale KWA matumbo yao na familia zao ,Kama vile izo pesa watafutao KWA NJIA za wizi watazikwa nazo au hawatakufa
 
Kumbuka kulegalega sio kufa. Ni katika siasa mtu anaweza kufa na kufufuka.

Msingi wa ngoma uko hapa: kuna watu wamekuwa yamini kumfarakanisha Mama na yeyote na kwa lolote hata kama ni la kijinga.

Yeyote ni mwananchi mmoja mmoja au makundi. Mama upande mmoja na hao upande mwingine. Yataka busara sana kuuruka mtego huo hasa hasa tokea kwa Mama.

Agenda ni kuwa na Magufuli anayetawala asiyekuwapo.
 
Mda upi ,kuanzia KWA rasm ya Warioba bado Kuna mchakato namshauri uanze ili uweze kamilika mapema , why SSH rais kuanza jitafutia lawama na laana ilihali Jambo lawezekana ,mh SSH , angalia Sana wanaccm waliokuzunguka ni wanafiki ,wapo pale KWA matumbo yao na familia zao ,Kama vile izo pesa watafutao KWA NJIA za wizi watazikwa nazo au hawatakufa
Tuvumilie kidogo, mambo yatakuwa sawa. Mama atatimiza ahadi.
 
Msingi wa ngoma uko hapa: kuna watu wamekuwa yamini kumfarakanisha Mama na yeyote na kwa lolote hata kama ni la kijinga.

Yeyote ni mwananchi mmoja mmoja au makundi. Mama upande mmoja na hao upande mwingine. Yataka busara sana kuuruka mtego huo hasa hasa tokea kwa Mama.

Agenda ni kuwa na Magufuli anayetawala asiyekuwapo.
Busara itatumika kama unavyosema.
 
Back
Top Bottom