Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 527
- 498
RAIS: TUENDELEE KUTUNZA AMANI ILI TUPATE MAENDELEO ZAIDI
"Nisisitize kwamba uwepo wa miradi hii tumeweza kuijenga na kuileta kwa sababu nchi yetu ina amani. [...] Niombe sana ndugu zangu, tuendelee kutunza amani yetu ili tupate maendeleo zaidi." - Rais Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji Kizimkazi, Zanzibar
Soma pia Rais Samia: Mapinduzi yalishafanyika, sasa mapinduzi ni ya maendeleo
"Nisisitize kwamba uwepo wa miradi hii tumeweza kuijenga na kuileta kwa sababu nchi yetu ina amani. [...] Niombe sana ndugu zangu, tuendelee kutunza amani yetu ili tupate maendeleo zaidi." - Rais Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji Kizimkazi, Zanzibar
Soma pia Rais Samia: Mapinduzi yalishafanyika, sasa mapinduzi ni ya maendeleo