Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,004
- 103,392
watu konachowaua kwenye nchi za jirani especially waliokua na magonjwa nyemelezi ni psychological shock na hofu bora life style lao lingeendelea kama kawaida sisi takwimu hatuzitaki zitazuua taharuki bora tuendelee na maisha yetu kama tulivyozoea
Mbona taarifa za wagonjwa wa ukimwi zilikuwa zinatolewa hakukuwa na taharuki, ama taharuki ndio imeanza kujengeka sasa?