ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Site tumeona habari za kuwa makamu wa Raid wa Marekani Mama Kamala Harris amekutwa na ugonjwa mkali wa Corona , yaani Uviko 19 hivyo kwasasa Kamala Harris yupo Carenteen na anejitenga.
Rais wa Muungano Mh. Samia Suluhu Alikuwa pamoja na Makamu wa Rais wa Marekani Ms Kamala Harris siku Kama 5 zilizopita, hivyo kulikuwa na uwezekano wa Korona kusambaa.
Kutokana na maelezo mafupi na ya kitaalamu hapo juu, nahisi ilipaswa Rais alipofika TANZANIA aende moja Kwa moja Carenteen Ili akajitenge kwa wiki mbili afanye vipimo vya COVID akiwa sawa aendelee na shughuli za kutangaza Movie yake na Peter ya Royal Tour.
Shukrani kwa wote
Rais wa Muungano Mh. Samia Suluhu Alikuwa pamoja na Makamu wa Rais wa Marekani Ms Kamala Harris siku Kama 5 zilizopita, hivyo kulikuwa na uwezekano wa Korona kusambaa.
Kutokana na maelezo mafupi na ya kitaalamu hapo juu, nahisi ilipaswa Rais alipofika TANZANIA aende moja Kwa moja Carenteen Ili akajitenge kwa wiki mbili afanye vipimo vya COVID akiwa sawa aendelee na shughuli za kutangaza Movie yake na Peter ya Royal Tour.
Shukrani kwa wote