Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,129
Ninaposema HAKI namaanisha Mungu.
Mungu hujiita haki au mwenye HAKI. Is.45:21
Sisi wananchi wanyonge tunakupenda , ila tutakapohisi haki imekiukwa mahali fulani na wewe kama kiongozi umekaa kimya kwasababu zako binafsi tutamwita mwenye haki aupime utawala wako kisha akiona kuna haki aendelee kuutunza na kuustawisha, la hatakuta haki tutamsii autwae utawala wako.
Hii itakuwa endelevu, kila kiongozi atakayeitawala nchi hii tutaupima utawala wake kisha tutamsihi Mungu mwenye HAKI aupime pia.
Anayekosa awajibishwe bila kujali chama chake, awe ndani ya CCM awe chama pinzani awajibishwe pia. Cha msingi ni haki tu itendeke.
Tanzania itatawaliwa kwa misingi ya haki na kumcha Mungu.
Nimeongea kiroho zaidi.
Mungu hujiita haki au mwenye HAKI. Is.45:21
Sisi wananchi wanyonge tunakupenda , ila tutakapohisi haki imekiukwa mahali fulani na wewe kama kiongozi umekaa kimya kwasababu zako binafsi tutamwita mwenye haki aupime utawala wako kisha akiona kuna haki aendelee kuutunza na kuustawisha, la hatakuta haki tutamsii autwae utawala wako.
Hii itakuwa endelevu, kila kiongozi atakayeitawala nchi hii tutaupima utawala wake kisha tutamsihi Mungu mwenye HAKI aupime pia.
Anayekosa awajibishwe bila kujali chama chake, awe ndani ya CCM awe chama pinzani awajibishwe pia. Cha msingi ni haki tu itendeke.
Tanzania itatawaliwa kwa misingi ya haki na kumcha Mungu.
Nimeongea kiroho zaidi.