Rais Samia: Wafungwa watendewe haki, ni binadamu kama walivyo wengine

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,850
12,086


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Majaji na Kamishna Jenerali wa Magereza leo tarehe 29 Agosti, 2021 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Viongozi watakaoapishwa ni:

A. MAGEREZA

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, SACP Mzee Ramadhani Nyamka, kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza

B. MAJAJI
1. Mhe.Kevin David Mhina, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

2. Mhe.Gabriel Pascal Malata, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

3. Mhe. Happiness Philemon Ndesamburo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

4. Mhe. Ruth Betwel Massam, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

5. Mhe.Adrian Philbert Kilimi,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

6. Mhe.Godfrey Mtemi Isaya Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

7. Mhe.Obadia Festo Bwegoge, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

8. Mhe.Victoria Mlonganile Nongwa, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

9. Mhe.Gladys Nancy Barth, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

10. Mhe. Fatma Rashid Khalfan,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

11. Mhe. Asina Abdillah Omari, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

12. Mhe.Hamidu Rajabu Mwanga, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

13. Mhe. Merlyn Leonce Komba, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

14. Mhe.Monica Peter Otaru, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

15. Mhe.Kamana Stanley Kamana, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

16. Mhe. Lusungu Hemed Hongoli,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

17. Suleiman Haji Hassan, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

18. Mhe.Mwajuma Kadilu Juma, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

19. Mhe. Dkt.Cleophace Kassenene, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

20. Mhe. Aisha Zuni Bade, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

21. Mhe. Musa Kassim Pomo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

MAKAMU WA RAIS - PHILIP MPANGO

Amempongeza kamishna mkuu wa magereza pamoja na majaji walio apishwa. Amewaasa kuishi viapo vyao katika kusikiliza kesi na kutoa hukumu za haki.

Aidha, amewaasa kutokupendelea maskini wala kuwastahi wenye nguvu. Wasitazame nafsi za watu katika kuhuku, wawasikilize wadogo na wakubwa kwa kipimo sawa.

Waende wakawatendee watanzania haki kwa kuwa sheria huonekana njema ikitumika kwa halali kama ilivyo kusudiwa.

SAMIA SULUHU HASSAN - RAIS

Amesisitiza teuzi za majaji anazofanya zinazingatia usawa wa kijinsia, akiwa na lengo la kufikia asilimia 50/50. Pia katika mambo mengi yaliyosaidia kuongeza ufanisi wa utendaji wa mahakama ni kuongezeka kwa majaji wanawake ambao kiwango chao cha uadilifu kipo juu kuzidi wanaume.

Ataendelea kufanya teuzi kulingana na miongozo ya kikatiba pamoja na uwezo wa kiuchumi wa nchi.

Pamoja na kuwa Mungu ndiye mwenye haki, ni muhimu kwa majaji hawa kusimama katika haki kwani wamepewa dhamana kubwa inayohusisha haki za watu.

Muhimili wa mahakama unapaswa kusimama vizuri ndiyo maana amekuwa anaruhusu majaji wasafiri kwenda sehemu mbalimbali ili wajifunze pamoja na kubadilishana uzoefu kutoka nchi mbalimbali. Hii itaongeza ufanisi wa mhimili huu pamoja na kupunguza malalamiko ya wananchi.

Kuhusu magereza, maisha na wafungwa pamoja na haki zao zilindwe. Taasisi hii ifanyiwe marekebisho na kuongozwa kwa weledi.

Wafungwa ni binadamu kama walivyo wengine, lazima wapate haki zao zote pamoja na kuwasaidia kurekebisha tabia zao. Aidha, taasisi hii ina changamoto ya utawala bora. Ni muhimu yawepo mafunzo kwa watendaji wanaosimamia taasisi hii.

Kutokufuata sheria kwenye matumizi ya fedha ya magereza ni changamoto kubwa. Kazi kubwa iende kufanywa kwenye kitengo hiki.
 
Majaji kweli au ni majaji wa UPE/UPJ ie Universal Primary Education (kwa mnaokumbuka UPE) /Universal Primary Judges. Ni upuuzi mtupu. Kwanini nasema hivyo:

Hawa alazima wawe compromised judges kwa vile wameteuliwa na mtu /Rais ambaye ni Imperial President kama zawadi and not on merit. Hawawezi kuwa independent in their judgments katika kesi ambazo serikali itawaamuru watende kama wanavyotaka.

Pili, Wana tabia ya kujisomea? kama jaji inabidi kwa mfano, CPC iwe on her/his fingertips (and many other laws) , hawa wako hivyo? hawa wa leo kutoka UDOM!

Finally, all is Rubbish!
 
Nadhani Majaji wanalipwa vizuri sana kuliko wengine. wanapatiwa nyumba, ulinzi n.k.
Hivyo hatutegemei tena kuona wala kusikia eti Jaji anapindisha haki.
tunawapongeza na kuwatakia majukumu mema.
 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Majaji na Kamishna Jenerali wa Magereza leo tarehe 29 Agosti, 2021 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Viongozi watakaoapishwa ni:

A. MAGEREZA

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, SACP Mzee Ramadhani Nyamka, kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza

B. MAJAJI
1. Mhe.Kevin David Mhina, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

2. Mhe.Gabriel Pascal Malata, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

3. Mhe. Happiness Philemon Ndesamburo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

4. Mhe. Ruth Betwel Massam, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

5. Mhe.Adrian Philbert Kilimi,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

6. Mhe.Godfrey Mtemi Isaya Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

7. Mhe.Obadia Festo Bwegoge, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

8. Mhe.Victoria Mlonganile Nongwa, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

9. Mhe.Gladys Nancy Barth, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

10. Mhe. Fatma Rashid Khalfan,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

11. Mhe. Asina Abdillah Omari, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

12. Mhe.Hamidu Rajabu Mwanga, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

13. Mhe. Merlyn Leonce Komba, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

14. Mhe.Monica Peter Otaru, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

15. Mhe.Kamana Stanley Kamana, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

16. Mhe. Lusungu Hemed Hongoli,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

17. Suleiman Haji Hassan, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

18. Mhe.Mwajuma Kadilu Juma, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

19. Mhe. Dkt.Cleophace Kassenene, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

20. Mhe. Aisha Zuni Bade, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

21. Mhe. Musa Kassim Pomo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

MAKAMU WA RAIS - PHILIP MPANGO

Amempongeza kamishna mkuu wa magereza pamoja na majaji walio apishwa. Amewaasa kuishi viapo vyao katika kusikiliza kesi na kutoa hukumu za haki.

Aidha, amewaasa kutokupendelea maskini wala kuwastahi wenye nguvu. Wasitazame nafsi za watu katika kuhuku, wawasikilize wadogo na wakubwa kwa kipimo sawa.

Waende wakawatendee watanzania haki kwa kuwa sheria huonekana njema ikitumika kwa halali kama ilivyo kusudiwa.

SAMIA SULUHU HASSAN - RAIS

Amesisitiza teuzi za majaji anazofanya zinazingatia usawa wa kijinsia, akiwa na lengo la kufikia asilimia 50/50. Pia katika mambo mengi yaliyosaidia kuongeza ufanisi wa utendaji wa mahakama ni kuongezeka kwa majaji wanawake ambao kiwango chao cha uadilifu kipo juu kuzidi wanaume.

Ataendelea kufanya teuzi kulingana na miongozo ya kikatiba pamoja na uwezo wa kiuchumi wa nchi.

Pamoja na kuwa Mungu ndiye mwenye haki, ni muhimu kwa majaji hawa kusimama katika haki kwani wamepewa dhamana kubwa inayohusisha haki za watu.

Muhimili wa mahakama unapaswa kusimama vizuri ndiyo maana amekuwa anaruhusu majaji wasafiri kwenda sehemu mbalimbali ili wajifunze pamoja na kubadilishana uzoefu kutoka nchi mbalimbali. Hii itaongeza ufanisi wa mhimili huu pamoja na kupunguza malalamiko ya wananchi.

Kuhusu magereza, maisha na wafungwa pamoja na haki zao zilindwe. Taasisi hii ifanyiwe marekebisho na kuongozwa kwa weledi.

Wafungwa ni binadamu kama walivyo wengine, lazima wapate haki zao zote pamoja na kuwasaidia kurekebisha tabia zao. Aidha, taasisi hii ina changamoto ya utawala bora. Ni muhimu yawepo mafunzo kwa watendaji wanaosimamia taasisi hii.

Kutokufuata sheria kwenye matumizi ya fedha ya magereza ni changamoto kubwa. Kazi kubwa iende kufanywa kwenye kitengo hiki.

Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
Chawa, sasa unaelekea kuwa KUPE maana si kujikomba! Wamo humu watakupendekeza, try and try again and again
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
Kwa umri wako unahisi ni maneno mapya kusikia kutoka kwa viongozi?

Binafsi sioni jipya nje yanahubiriwa mengine ndani na yanatendeka mengine.
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P
tatizo anaongea tu lafu ynaishia JF magereza na polisi inatakiwa ifanyiwe mabadiliko makubwa sana sana.
 
Haki huendana na huruma, siku zote mpenda haki ni mwenye huruma, muhimu ajue kutofautisha wapi aweke huruma na wapi aache sheria na taratibu zifanye kazi.

Lakini nimeanza kuona kuna watendaji wake wa karibu wanaanza kuitumia vibaya huruma ya Rais, awe makini na hawa watu, kutwa wanampa maneno mazuri ya tumuombee Rais lakini nyuma yake wanaenda kinyume na miongozo ya ofisi za umma.
 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Majaji na Kamishna Jenerali wa Magereza leo tarehe 29 Agosti, 2021 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Viongozi watakaoapishwa ni:

A. MAGEREZA

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, SACP Mzee Ramadhani Nyamka, kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza

B. MAJAJI
1. Mhe.Kevin David Mhina, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

2. Mhe.Gabriel Pascal Malata, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

3. Mhe. Happiness Philemon Ndesamburo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

4. Mhe. Ruth Betwel Massam, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

5. Mhe.Adrian Philbert Kilimi,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

6. Mhe.Godfrey Mtemi Isaya Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

7. Mhe.Obadia Festo Bwegoge, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

8. Mhe.Victoria Mlonganile Nongwa, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

9. Mhe.Gladys Nancy Barth, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

10. Mhe. Fatma Rashid Khalfan,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

11. Mhe. Asina Abdillah Omari, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

12. Mhe.Hamidu Rajabu Mwanga, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

13. Mhe. Merlyn Leonce Komba, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

14. Mhe.Monica Peter Otaru, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

15. Mhe.Kamana Stanley Kamana, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

16. Mhe. Lusungu Hemed Hongoli,Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

17. Suleiman Haji Hassan, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

18. Mhe.Mwajuma Kadilu Juma, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

19. Mhe. Dkt.Cleophace Kassenene, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

20. Mhe. Aisha Zuni Bade, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

21. Mhe. Musa Kassim Pomo, Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania

MAKAMU WA RAIS - PHILIP MPANGO

Amempongeza kamishna mkuu wa magereza pamoja na majaji walio apishwa. Amewaasa kuishi viapo vyao katika kusikiliza kesi na kutoa hukumu za haki.

Aidha, amewaasa kutokupendelea maskini wala kuwastahi wenye nguvu. Wasitazame nafsi za watu katika kuhuku, wawasikilize wadogo na wakubwa kwa kipimo sawa.

Waende wakawatendee watanzania haki kwa kuwa sheria huonekana njema ikitumika kwa halali kama ilivyo kusudiwa.

SAMIA SULUHU HASSAN - RAIS

Amesisitiza teuzi za majaji anazofanya zinazingatia usawa wa kijinsia, akiwa na lengo la kufikia asilimia 50/50. Pia katika mambo mengi yaliyosaidia kuongeza ufanisi wa utendaji wa mahakama ni kuongezeka kwa majaji wanawake ambao kiwango chao cha uadilifu kipo juu kuzidi wanaume.

Ataendelea kufanya teuzi kulingana na miongozo ya kikatiba pamoja na uwezo wa kiuchumi wa nchi.

Pamoja na kuwa Mungu ndiye mwenye haki, ni muhimu kwa majaji hawa kusimama katika haki kwani wamepewa dhamana kubwa inayohusisha haki za watu.

Muhimili wa mahakama unapaswa kusimama vizuri ndiyo maana amekuwa anaruhusu majaji wasafiri kwenda sehemu mbalimbali ili wajifunze pamoja na kubadilishana uzoefu kutoka nchi mbalimbali. Hii itaongeza ufanisi wa mhimili huu pamoja na kupunguza malalamiko ya wananchi.

Kuhusu magereza, maisha na wafungwa pamoja na haki zao zilindwe. Taasisi hii ifanyiwe marekebisho na kuongozwa kwa weledi.

Wafungwa ni binadamu kama walivyo wengine, lazima wapate haki zao zote pamoja na kuwasaidia kurekebisha tabia zao. Aidha, taasisi hii ina changamoto ya utawala bora. Ni muhimu yawepo mafunzo kwa watendaji wanaosimamia taasisi hii.

Kutokufuata sheria kwenye matumizi ya fedha ya magereza ni changamoto kubwa. Kazi kubwa iende kufanywa kwenye kitengo hiki.
Fanya marekebisho ya mwaka 22 sio 21
 
Leo nilikuwa namsikiliza rais Samia akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wapya 21, kati ya majaji 22 aliowateua hivi karibuni.

Kiukweli huyu Mama ni baraka kutoka kwa Mungu!. Amezungumzia tofauti ya utoaji haki kati ya majaji wa kike na wa kiume, kile kitu nilichokisema kuhusu majaji kuwa na jicho la haki, Rais Samia ameizungumzia kuhusu majaji wanawake kutenda haki kuliko majaji wanaume, hivyo anakwenda kuteua majaji 50/50.

Akizungumzia Kamishana Mkuu wa Magereza amewataka Magereza kuwatenda vema wafungwa kwa hoja kuwa sio wafungwa wote ni wahalifu kweli, kuna wengine wanafungwa kwa circumstantial evidence lakini sio wahalifu.

Ukimsikia Samia analiagiza nini Jeshi la Magereza kuwa treat vipi wafungwa, wale mnaomkumbuka yule alitaka wafungwa wahudumiweje, mtakubaliana na mimi , Samia na yule ni mbingu na ardhi!.
Kiukweli acheni tuu Mungu aitwe Mungu!.
Ujio wa Samia ni baraka ya aina yake kwa Tanzania.
Mungu mbariki Samia
Mungu ibariki Tanzania.
P

Uteuzi at work
 
Ndio ziendelee kwa maslahi mapana ya nchi yetu Katika ujenzi wake, hata nchi za ulaya na Amerika wamelipa Sana tozo na Kodi na bado wanalipa ndio unavyoona wakiwa wamefika hapo pa kupigiwa mifano kimaendeleo
Unafananisha na marekani na ulaya
Bongo hata wakusanye tozo miaka nenda rudi,yesu arudi aondoke arudi
Hakuna mabadiliko yoyote yakatayo
Tokea

Ova
 
Back
Top Bottom