Rais Samia Suluhu kama utatawala kwa kutokuzingatia haki, HAKI halisi itahitimisha safari yako utawala

Ni suala la muda tu,huko mwanza kumegundulika genge la vijana wenye itikadi za kigaidi na uasi juu ya serikali.

Uchunguzi bado unaendelea na soon mtatangaziwa,msione Rais kachachamaa mkadhani ni easy tu,watu wamemgusa pabaya

Kweli mmeishiwa na mbinu, hizi ni mbinu so outdated, nyie bado mnaona mna mbinu Kweli kweli. Wananchi wanawachora tu huko mtaani maana wanawaona ni watu wa nguvu nyingi na akili kidogo. Mama wa kambo ameingizwa kwenye siasa za kichovu ili kuliridhisa kundi la sukuma Gang.
 
Ni suala la muda tu,huko mwanza kumegundulika genge la vijana wenye itikadi za kigaidi na uasi juu ya serikali.

Uchunguzi bado unaendelea na soon mtatangaziwa,msione Rais kachachamaa mkadhani ni easy tu,watu wamemgusa pabaya
Ni propaganda tu za CCM nchi hii wenye uwezo wa kufanya ugaidi ni CCM kwa kushirikiana na vibaraka wao wa vyombo vya ulinzi na usalama Mbowe hana uwezo huo
 
Kweli mmeishiwa na mbinu, hizi ni mbinu so outdated, nyie bado mnaona mna mbinu Kweli kweli. Wananchi wanawachora tu huko mtaani maana wanawaona ni watu wa nguvu nyingi na akili kidogo. Mama wa kambo ameingizwa kwenye siasa za kichovu ili kuliridhisa kundi la sukuma Gang.
Sukuma gang ndo kitu gani? Ulitaka aridhishe genge gani?
 
Kagame bado YUPO tu ...

Ameombewa MABAYA SANA....

M/MUNGU hayuko mifukoni mwa wanadamu.....

Ukitaka ujue usicheze na mfumo , tambua kuwa JUA NA MWEZI ni mfumo....binadamu hawezi KUOMBA MAOMBI ILI JUA lizimike....HAIWEZEKANI.....

TUHESHIMU MAMLAKA NA TAWALA
 
Sukuma gang ndo kitu gani? Ulitaka aridhishe genge gani?

Sukuma Gang mnamfanya mama wa kambo aonekane naye ni mshamba kama yule ibilisi aliyeko motoni. Hizo mbinu Za kubambambikia kesi mnazotumia ni za kizee ile mbaya.
 
Tanganyika sasa hivi ukiwabembeleza Chadema, akina Maria Sarungi, Kigogo na binti karume ukawasikiliza wanavyotaka wao basi wewe ndio kiongozi mzuri ila ukiwa na mtazamo tofauti na wanavyowaza wao basi wewe ni dikteta katili na maneno meeengi...

Ni vyema kama CDM mna uhitaji wa katiba saana na mahitaji yenu mengine basi muweke kwenye ilani yenu ya uchaguzi ya 2025....inawezekana ilani ya CCM ya 2020 haikuwa na issue ya katiba...2025 watanzania wakivutiwa na ilani yenu yenye kipengele cha katiba mpya wataichagua CDM kwa zaidi ya 80%..
 
Kagame bado YUPO tu ...

Ameombewa MABAYA SANA....

M/MUNGU hayuko mifukoni mwa wanadamu.....

Ukitaka ujue usicheze na mfumo , tambua kuwa JUA NA MWEZI ni mfumo....binadamu hawezi KUOMBA MAOMBI ILI JUA lizimike....HAIWEZEKANI.....

TUHESHIMU MAMLAKA NA TAWALA

Sawa mtetezi wa mama wa kambo.
 
Sukuma Gang mnamfanya mama wa kambo aonekane naye ni mshamba kama yule ibilisi aliyeko motoni. Hizo mbinu Za kubambambikia kesi mnazotumia ni za kizee ile mbaya.

dah jamaa yangu siku hizi unajua anayekwenda peponi na motoni....hahahahaha kweli umevurugwa na bila shaka angekuwa CDM angeenda peponi...Mama naye akiwapa katiba mpya na kuwabembeleza akifa naye ataenda peponi...
 
Kagame bado YUPO tu ...

Ameombewa MABAYA SANA....

M/MUNGU hayuko mifukoni mwa wanadamu.....

Ukitaka ujue usicheze na mfumo , tambua kuwa JUA NA MWEZI ni mfumo....binadamu hawezi KUOMBA MAOMBI ILI JUA lizimike....HAIWEZEKANI.....

TUHESHIMU MAMLAKA NA TAWALA
Mmeanza kuingiza upepo...
 
Tanganyika sasa hivi ukiwabembeleza Chadema, akina Maria Sarungi, Kigogo na binti karume ukawasikiliza wanavyotaka wao basi wewe ndio kiongozi mzuri ila ukiwa na mtazamo tofauti na wanavyowaza wao basi wewe ni dikteta katili na maneno meeengi...

Ni vyema kama CDM mna uhitaji wa katiba saana na mahitaji yenu mengine basi muweke kwenye ilani yenu ya uchaguzi ya 2025....inawezekana ilani ya CCM ya 2020 haikuwa na issue ya katiba...2025 watanzania wakivutiwa na ilani yenu yenye kipengele cha katiba mpya wataichagua CDM kwa zaidi ya 80%.

Kwa katiba hii hakuna uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ingekuwa kuna uchaguzi wa kweli haya maelezo yako yangekuwa na maana.
 
Kwa katiba hii hakuna uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ingekuwa kuna uchaguzi wa kweli haya maelezo yako yangekuwa na maana.

toka 1995 mnatuambia kura zinaibwa na upinzani huwa unashinda sasa maajabu mnashiriki uchaguzi miaka yoote, na wabunge wenu wanakwenda bungeni, ruzuku ya chaguzi haramu mnachukua nk nk....leo hii kuna Covid 19 bungeni mpaka sasa mmechukua hatua gani dhidi ya huo uchafuzi zaidi ya kulalamika mitandaoni na miaka inakatika mara paap 2025 hii hapa TL anarudi anagombea tena.... tuhumu za ruzuku za covid 19 mpaka sasa hazijajibiwa kwa kuonyesha financial status zaidi ya mdomo tu na mitandaoni...
 
toka 1995 mnatuambia kura zinaibwa na upinzani huwa unashinda sasa maajabu mnashiriki uchaguzi miaka yoote, na wabunge wenu wanakwenda bungeni, ruzuku ya chaguzi haramu mnachukua nk nk....leo hii kuna Covid 19 bungeni mpaka sasa mmechukua hatua gani dhidi ya huo uchafuzi zaidi ya kulalamika mitandaoni na miaka inakatika mara paap 2025 hii hapa TL anarudi anagombea tena.... tuhumu za ruzuku za covid 19 mpaka sasa hazijajibiwa kwa kuonyesha financial status zaidi ya mdomo tu na mitandaoni...
🤩👍🤣
 
toka 1995 mnatuambia kura zinaibwa na upinzani huwa unashinda sasa maajabu mnashiriki uchaguzi miaka yoote, na wabunge wenu wanakwenda bungeni, ruzuku ya chaguzi haramu mnachukua nk nk....leo hii kuna Covid 19 bungeni mpaka sasa mmechukua hatua gani dhidi ya huo uchafuzi zaidi ya kulalamika mitandaoni na miaka inakatika mara paap 2025 hii hapa TL anarudi anagombea tena.... tuhumu za ruzuku za covid 19 mpaka sasa hazijajibiwa kwa kuonyesha financial status zaidi ya mdomo tu na mitandaoni...

Weka ww ushahidi wa maandishi kuwa wanachukua hiyo ruzuku. Uchaguzi kuporwa wakati wa ibilisi ulikuwa wazi sana wala sio kuhadithiwa. Hatua tuchukue kwa mahakama gani, hizi zinazoagizwa namna ya kutoa hukumu? Ili hayo tunayolalamikia ya kupora uchaguzi yasiendelee ndio maana tunaidai katiba mpya, ambayo ww inakuuma sana ikidaiwa.
 
Back
Top Bottom