wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kwa kwelihaiwezekani kujitenga naye,atapuyanga saa mbili asubuhi.
Kwa kwelihaiwezekani kujitenga naye,atapuyanga saa mbili asubuhi.
Timu magufuli bwana wajinga sana mmechotwa kisaikolojiaa na mmechoteka.Japo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025
Kibaya alicho fanya ambacho hadi sasa kunaliangamiza taifa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa hakuna rais mwingine apaswaye kuabudiwa isipo kuwa MAGUFULI, hii ni legacy mbaya sana kwa taifa na ndiyo inayo litesa taifa kwa sasa kwani watu waliwekeza kwa mtu na sio taifa.Magu kaacha legacy mbaya kuliko wenzake wote waliomtangulia.
Sasa Mama yenu ameshachagua upande sasa rudini kwa mzee wa Ubeligiji tukutane oct 2025Timu magufuli bwana wajinga sana mmechotwa kisaikolojiaa na mmechoteka.
Kibaya alicho fanya ambacho hadi sasa kunaliangamiza taifa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa hakuna rais mwingine apaswaye kuabudiwa isipo kuwa MAGUFULI, hii ni legacy mbaya sana kwa taifa na ndiyo inayo litesa taifa kwa sasa kwani watu waliwekeza kwa mtu na sio taifa.
Ujukbe muhimu japo siyo legacy bali ni umbumbumbu wa wabungebja bunge.Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja, itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo. Nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa Samia amejua kuwa wahuni wa mitandaoni watampoteza na si wapiga kura , wapinga kura wametulia wana mzoom tu.
Japo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025J
Nyi ni wajinga,,uho mzoga wenu hakuna wakuuwabuduAnajirudi.....mambo mengine bila technique kwisha
Kwa hiyo na Rais Samia Suluhu Hassan naye ataisigina Katiba kama alivyokuwa akifanya mwendazake?Sasa Mama yenu ameshachagua upande sasa rudini kwa mzee wa Ubeligiji tukutane oct 2025
Hata ww ni future Mzoga pia, sijui unalingine mrembo au mvua zinakuchanganya kimwili??Nyi ni wajinga,,uho mzoga wenu hakuna wakuuwabudu
Jidaganye hivo hivo mkuu. Ccm haitegemei kuraKura ni muhimu uwezi kuiba umepata kura 10 mwezio kapata kura 1000 ila unaweza kuiba 100 kwa 130
JehanamuWapi peponi
Hii mimba aliyokutundika Lissu inakutesa sana. Vumilia tu uzae salamaHata Lisu alipoambiwa ukweli kwamba anasaliti nchi kwa kututisha tutashitakiwa MIGA alichukia sana.
Unawakumbuka sana mabasha wako kutwa kucha majina yao hayakauki kwako.Mbowe ,Lisu ,Nape chali tena
Hawezi kuchukua ukatili na kukwepa kukaguliwa na wala hawezi umiza wanao mkosoa naamini hayo hawezi kwenda nayo ila ya ujenzi wa miundo mbinu hayo aende nayoSasa Mama yenu ameshachagua upande sasa rudini kwa mzee wa Ubeligiji tukutane oct 2025
Technically miaka inavyokwenda CCM nguvu yao ya ushawishi dhidi ya vyombo vya dola inaenda kuisha kwani watu ambao wanaweza kuwambia viongozi wa hvyo vyombo hawapo mfano mdogo tu leo Bashiru na Polepole wanaweza mtisha nani?? Je kipindi JPM yupo au Mkapa nguvu ya CCM kimamlaka itakuwa sawa na Sasa?Jidaganye hivo hivo mkuu. Ccm haitegemei kura