Rais Samia Suluhu alazimika kufuta post yake ya Twitter aliyotoa taarifa ya kuwasili Dar. Ni baada ya malalamiko kuhusu mabando kuzidi kwa wachangiaji

Iseee...kumbe

Waendeshaji yapo mengi ya kujifunza...au wanadhani bado ni VP,kiufupi yule tayari ni Mkuu wa Nchi..Dunia nzima inamfuatilia
Huyu hapa yupo huku uwanja wa Mange
Screenshot_20210403-211304.jpg
 
Ohooo huyu mama mtamboo soon,hivi akifanya kila mtu anavyotaka itakuaje?
Namuhurumia sana.
Vifurushi tz mko vizuri ukilinganisha na nchi nyingine.
 
Ohooo huyu mama mtamboo soon,hivi akifanya kila mtu anavyotaka itakuaje?
Namuhurumia sana.
Vifurushi tz mko vizuri ukilinganisha na nchi nyingine.
Tuonyeshe vya hizo nchi nyingine ili tulinganishe.
 
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Mjomba hujaambiwa anashinda mtandaoni. Mtu kuweka tweet moja mbili kwasiku ukapata na response za wananchi wako si mbaya. Magufuli alikua na account ya tweeter mbona hamkusema anashinda mtandaoni
 
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Twitter ni wahuni?
 
Hakuna kiongozi yeyote Duniani anayeshinda mtandaoni aliyefanikiwa hakuna na aliyemshauri huyu mama kuwa mtu wa mitandaoni bhasi ajue soon kutaongozwa na mawazo ya wahuni wa Twitter naona anaenda kuungana na wakina Kigwangala
Kwa akili yako unadhani hiyo account anajibu yeye? Wasaidizi wake ndiyo wanafanya hiyo kazi.
 
Back
Top Bottom