unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Usitegemee nyie mliodumaa Ubongo anawahesabia kwenye wengi. Anamaanisha wengi wenye akilli Timamu
Mwenye akili timamu hawezi mchukia Rais wa nchi. Muda huo ataupata wapi. Wanafiki. Tena wasio na Kazi na tena kufuata mkumbo. Are you serious. Kwa Job description ya Rais na mtu makini wapi na wapi.