Rais Samia: Muda wa siasa za uhasama umekwisha

Kwa hiyo wewe unapenda uhasama.
Uhasama huwa hauepukiki aisee. Huo upogo tu. Hata Mkapa alipambana sana na CUF.

Chadema mbiwe akikaa kimya kina heche watapiga kelele, heche akikaa kimya kina mdude watapiga kelele.

Uhasama na malumbano ndio gharama za kuwa wapinzani wawili. Vinginevyo muungane mgawane madaraka.
 
Tangu zamani walikuwepo kwani hao UV wameanzia awamu iliyopita tu !!
Mkuu, Unaelewa, naelewa. Wananijua, nawajua wengi tu, sasa hivi ni utitiri na ma BOT ndani.

Ni genge kubwa la kimkakati. Cha kusikitisha na fedha zinazoombwa kwenye bajeti, sioni zikileta, angalau, 'Uafadhali' kuwapunguza.

Na inafika sehemu naanza kutengeneza njama mwenyewe; inaeleweka makusudio (ya bajeti)yaweza kuwa na uhalali wa kuleta afueni halafu yakakunjwa angani kugaragasa n.k

Kiranja yule, alikatiwa mti wake wa kugema mbilimbi...akaleta za kuleta unafikiri itakuwaje...Kiranja mkuu naye akatumia rungu lake.

Matokeo yake, na kukwazika huko, mambo ya kusengenya poa....Uhasama umeshajengwa na itachukua mda-Kurakabisha.

Wanao-'Umiaa'ni Jamii& Familia.
 
Awamu ya Tano chini ya dicteta magufuri siasa za ugomvi,vijembe,matusi,dharau na kukomoana zilishamiri sana.
Haki-Sawa??.

Unajua nani walikomolewa chagua upande wowote ni haki yako;
Unajua ugomvi huo ni wa kibinafsi-Kila nguli alijitutumua; chagua pande ni haki yako

hiyo dharau unayodai ilikuwa ni vita tu.(social or class warfare) hence majina ya magenge-chagua pande haki yako;

Unajizimisha data- Hayo uliyoandika ndio Uhasama wenyewe. Na I am 1000% hukuathirika na yote hayo uliyasema ila una faidika nayo.

Wahenga walisema " Fainali Uzeeni" utakumbuka uhasama. Utagundua baada ya Data kurichaji.
Tafuta Amani mapema.
....
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
2183704_IMG_1183.jpg
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
Sure
 
Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.

Kwa hiyo CCM kupora chaguzi za nchi hii ndio hizo siasa za kistaarabu? Ukweli ni kuwa CDM waliwazidi sana CCM kwenye hoja, na kwakuwa CCM haikuwa tayari kuzidiwa na CDM, ndio hapo wakageuza siasa kuwa uhasama.
 
Sie wanaccm hatunaga jau na mtu, chadema walitunyanyasa Sana enzi za kikwete, Kwa mwamba waccm tulipumua

Hamkupumua kama chama cha siasa, bali mlipumua kwa mbeleko ya vikundi vya utekaji, kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola nk. Ukiona chama kina miaka zaidi ya 50, lakini uimara wake unategemea vyombo vya dola, basi ujue hapo hakuna chama.
 
Rais Samia Ni chaguo la Mwenyezi MUNGU, aliyeinuliwa na Mwenyezi MUNGU ,aliyeandaliwa na Mwenyezi MUNGU Tangia Akiwa Tumboni mwa mama take, Aliye kuja kuwatumikia Waja wa Mwenyezi MUNGU,Aliye na hofu ya Mwenyezi MUNGU,mcha Mungu,Mwenye kumtangulia Mungu,Mwenye kuyaishi maneno take,Asiyetaka kumuumiza yeyote aliyeumbwa na Mwenyezi MUNGU,Kwa kuwa anatambua uongozi hutoka kwa Mwenyezi MUNGU pekee na Ni Mungu pekee anayejuwa hatima ya kila mmoja wetu
NA HUU NDIYO UISLAM JINSI UNAVYOTUTAKA TUWE, LINI UKAONA KIONGOZI WA KIISLAM AKA UMIZA WATU, HAPA TANZANIA ZAIDI YA UTU WA HALI YA JUU.
 
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM kuachana na siasa za kuchokozana na ugomvi na hata ikitokea watakosolewa basi wajibu kwa hoja.

"Zama za ugomvi, kupigana na kutukanana katika siasa sasa ziishe, twendeni na hoja za maana, twendeni na hoja za kujenga. Tuvumiliane tulete maendeleo ya kweli na yenye tija, ili tujenge Tanzania yenye maendeleo endelevu."- Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan

Aidha alisema kwa kuwa ameruhusu mikutano ya hadhara vyama vingine vitakaposimama na kuikosoa serikali basi wawe wasikivu wa nini kinasemwa ili kirekebishwe kwa maslahi ya Taifa.

"Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
FmGP6YCWQAAem9W
Tunapokosolewa tuyaangalie, yale ya kweli tuyachukue tuyafanyie kazi makosa yawe yameondoka. Yale ambayo sio ya kweli twendeni tukajibu kwa hoja lakini kubwa ni ustahamilivu."- Rais Samia Suluhu
 
Siasa za uhasama mlizianzisha nyie chadema sema hamkujua uvumilivu wa kiongozi mmoja mmoja, kikwete alikuwa mvumilivu lkn ikawa tofauti Kwa magufuli, so revenge ya magufuli ilikuwa doubled ndo mana mkamuona yeye kama mshari Ila wachokozi mlikuwa nyinyi.
Chadema waliwahi kumteka au kumuua kiongozi wa CCM?
 
CCM ya Mwendazake hawataki siasa za amani, wamesikitishwa saana na hatua ya Mwenyekiti wetu Taifa kusema sasa yatosha - hawana uhakika kama watatoboa majukwaani maana wengi walisaidiwa kupita majimboni bila kupingwa, kuiba kura nk.
Walitakiwa wajue kuwa, hata siku moja, shetani hawezi kukupa mafanikio ya kudumu. Aliwaonjesha anasa kwa njia haramu na za kifedhuli, baadaye wajutie.
 
Kwa hiyo CCM kupora chaguzi za nchi hii ndio hizo siasa za kistaarabu? Ukweli ni kuwa CDM waliwazidi sana CCM kwenye hoja, na kwakuwa CCM haikuwa tayari kuzidiwa na CDM, ndio hapo wakageuza siasa kuwa uhasama.
Shida yenu hamliwezi kukiri madhaifu, yaani sie CCM tupite mtaani na Sare zetu muanze kutuzomea na kuturushia makopo hizo ndo hoja? Mlifikia hatua mbaya mpaka ya kutuvurisha Sare mtaani hizo ndo hoja? Misafara ya viongozi wetu mlikuwa mnaizomea na kurusha mawe, hizo ndo siasa za kistaraabu kwenu? Revenge za magufuli ilikuwa ni kujibu siasa zenu za kishenzi, Sisi wanaccm ni watulivu na hatunaga mihemko Ila ukizidisha chokochoko hatuwezi kuvumilia upumbavu lazima tukunyooshe.
 
Back
Top Bottom