sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,566
- 11,483
Uhasama huwa hauepukiki aisee. Huo upogo tu. Hata Mkapa alipambana sana na CUF.Kwa hiyo wewe unapenda uhasama.
Chadema mbiwe akikaa kimya kina heche watapiga kelele, heche akikaa kimya kina mdude watapiga kelele.
Uhasama na malumbano ndio gharama za kuwa wapinzani wawili. Vinginevyo muungane mgawane madaraka.