GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Halafu hii ya Mgonjwa ambaye bado anahitaji Matibabu ya Kina kuanzisha Mfuko wake (Foundation) kwa kusema anataka Kusaidia wengine Wengi ni kutaka Kutudanganya wenye Akili Kubwa na kutufanya ni Wapumbavu (Mapopoma) na hili hatutalikubali.
Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.
Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.
Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.
Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.
Mwisho GENTAMYCINE natoa RAI kwa wengine kuwa kama unajua bado una Shida, huna Hela au una Madeni mengi ya Hospitalini au Kwingineko (katika Jamii usitumie njia ndefu ya kutaka kujipatia/kuomba Pesa bali sema tu wazi wazi kuwa Umepigika Kimaisha kama GENTAMYCINE hivyo unaomba Msaada ili Watanzania wakusaidie tu na siyo kutumia Usanii Usanii na Mbwembwe nyingi.
Na Foundations nyingi huwa zinaanzishwa na zinanoga pia kama tu Mlengwa akiwa ameshatangulia mbele za Haki (yaani Kafa/ Kafariki) au Kapona kabisa tatizo lake ila siyo Mgonjwa kuanzisha Mfuko wake.
Wengine (GENTAMYCINE nikiwemo) ni kama Bahari ambayo kamwe huwa haikai na haitokaa na Uchafu wowote ule hivyo tukiona kuna tatizo au upuuzi wowote ule mahala fulani siwezi/hatuwezi Kunyamaza au Kulinyamazia.
Mzanaki, Myao na Mtutsi nimemaliza.