beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Madini ya Tanzanite yanapouzwa ovyo yanashusha thamani yake, akisema yanatakiwa kuuzwa kwa mpangilio maalum
Ameeleza hayo leo akizungumza na Wananchi Manyara na kuongeza, "Endapo yatauzwa kwa mpangilio na kuachiwa kidogo kidogo duniani thamani yake itapanda"
Kuhusu changamoto za Vituo vya Afya na Madarasa Wilaya Simanjiro, Rais Samia amesema Serikali inakusanya fedha na ujenzi utafanyika
Ameeleza hayo leo akizungumza na Wananchi Manyara na kuongeza, "Endapo yatauzwa kwa mpangilio na kuachiwa kidogo kidogo duniani thamani yake itapanda"
Kuhusu changamoto za Vituo vya Afya na Madarasa Wilaya Simanjiro, Rais Samia amesema Serikali inakusanya fedha na ujenzi utafanyika