Rais Samia: Kuuza ovyo Tanzanite kunashusha thamani yake

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Madini ya Tanzanite yanapouzwa ovyo yanashusha thamani yake, akisema yanatakiwa kuuzwa kwa mpangilio maalum

Ameeleza hayo leo akizungumza na Wananchi Manyara na kuongeza, "Endapo yatauzwa kwa mpangilio na kuachiwa kidogo kidogo duniani thamani yake itapanda"

Kuhusu changamoto za Vituo vya Afya na Madarasa Wilaya Simanjiro, Rais Samia amesema Serikali inakusanya fedha na ujenzi utafanyika
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Madini ya Tanzanite yanapouzwa ovyo yanashusha thamani yake, akisema yanatakiwa kuuzwa kwa mpangilio maalum

Ameeleza hayo leo akizungumza na Wananchi Manyara na kuongeza, "Endapo yatauzwa kwa mpangilio na kuachiwa kidogo kidogo duniani thamani yake itapanda"

Kuhusu changamoto za Vituo vya Afya na Madarasa Wilaya Simanjiro, Rais Samia amesema Serikali inakusanya fedha na ujenzi utafanyika
Muulizeni huyo Miss utalii ni nani aiachie kidogo kidogo?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Madini ya Tanzanite yanapouzwa ovyo yanashusha thamani yake, akisema yanatakiwa kuuzwa kwa mpangilio maalum

Ameeleza hayo leo akizungumza na Wananchi Manyara na kuongeza, "Endapo yatauzwa kwa mpangilio na kuachiwa kidogo kidogo duniani thamani yake itapanda"

Kuhusu changamoto za Vituo vya Afya na Madarasa Wilaya Simanjiro, Rais Samia amesema Serikali inakusanya fedha na ujenzi utafanyika
Mama atulie na kulea wajukuu hajui lolote yupo tu,tanzanite jk aliacha gram AAA+ ikiwa 1.6m alivyoingia meko na yeye thamani ilishuka mpka laki 5 kwa AAA+...unakamata wanunuzi na wachimbaji kisha unawapa kesi,unategemea nini zaidi ya kuua soko,wanunuzi wakubwa wote waliondoka wamebaki waswahili wenye mitaji midogo.
Halafu anakuja mjinga n kusema tanzanite ikatwe hapohapo mererani wakati hakuna mtaalam wa kukata sanasana watakuharibia jiwe lako litashuka thamani
 
SSH wewe ndio rais, sasa unangoja nani akwambie ununue Tanzanite inayochimbwa na kuihodhi BOT? Au sio wewe uliokuwa unasema BOT wachunguze jinsi ya kuruhusu Crypto currency wakati Tanzanite tu inakushinda?

BTW One crypto currency = more than 50 million shillings. Sijui mwenzetu unazo crypto ngapi? Je, huo uchunguzi unafanyika kwa pesa za walipa kodi hawa hawa wanaoshindia One dollar a day? Ama kweli Tanzania imepatikana.


 
Back
Top Bottom